sasa kwa mambo yanavyoanza sasa ungeju a hilo. Haijawai tokea nchi hii mhogo ukanunuliwa kwa kg toka shambani kwa mkulima. Maana inatakiwa uuzwe 24 hrs baada ya kuchi!bwaina maana mambo yanabadilikaSajajaribu kupima lakin kwa kiroba kimoja cha kg 25 kwa kukadiria hakizidi uzito wa kg 50 kwenda juu.
tofauti ya mimi na wewe ni kwamba mimi nililima na shina moja lilifika kg 13. Rafiki yangu alipata wastani wa kg 18 kwa shina.
ekari moja miche iko kama 4000 mingine inaharibika su haioti vizuri.
