Shuku_
Senior Member
- Sep 26, 2019
- 191
- 273
Habari zenu wana jf, Bila kuchelewa twende kwenye mada kama kichwa kinavyo jieleza natafuta soko la mihogo mibichi, Huku nilipo Morogoro Turiani mihogo mibichi inapatikana kwa wingi tu nna mpango wa kuinunua kwa mkulima na kuisafirisha tatizo lipo kwa upande wangu sijui pakupeleka.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu wadau.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu wadau.