Wadau matokeo J.mosi hii kwa wale wa Form 4

Status
Not open for further replies.
Waalimu wanasubiri ajira baada ya kudanganywa na Waziri, wanafunzi wanasubiri matokeo ambayo wanaamini serikali inayoua Elimu itawapa alama.
Punguza munkari, kanuni kuu ni "utavuna ulichopanda".
 
Waalimu wanasubiri ajira baada ya kudanganywa na Waziri, wanafunzi wanasubiri matokeo ambayo wanaamini serikali inayoua Elimu itawapa alama.
Punguza munkari, kanuni kuu ni "utavuna ulichopanda".

Najiamin mkuu but hakna shda ntasubir lakin kuna habar znasma kuw yashapangwa!
 
Matokeo ya kidato cha nne 2013 yatatoka mwezi huu, kwa sababu mwisho wa usajili wa PC ni february 28 kama Necta ilivyotangaza. Lazima yatoke mapema ili wanafunzi wajue kama watarudia mtihani au vipi
 
Matokeo ya kidato cha nne 2013 yatatoka mwezi huu, kwa sababu mwisho wa usajili wa PC ni february 28 kama Necta ilivyotangaza. Lazima yatoke mapema ili wanafunzi wajue kama watarudia mtihani au vipi

asante mkuu bt source
 
hili tangazo linaweza kukupa picha matokeo yatakuwa lini..?
TANGAZO


BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwakumbusha watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) mwezi Novemba, 2014 kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kilichoanza rasmi tarehe 1 Januari, 2014 kwa ada ya Shilingi 50,000/=kwa wanaojisajili CSEE na Shilingi 30,000/= kwa wanaojisajili QT kitaishia tarehe 28 Februari, 2014.
Waombaji wote wanasisitizwa kuhakikisha wanajisajili mapema kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya Baraza la Mitihani ya www.necta.go.tz. Kabla ya kujisajili kwenye mtandao, waombaji wanapaswa kwenda kwenye vituo vya mitihani kuchukua namba rejea (reference number) zinazotolewa bure na kulipa ada ya mtihani kwa njia ya Posta au Mpesa.

Imetolewa na:
KAIMU KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA.
 
Matokeo ya kidato cha nne 2013 yatatoka mwezi huu, kwa sababu mwisho wa usajili wa PC ni february 28 kama Necta ilivyotangaza. Lazima yatoke mapema ili wanafunzi wajue kama watarudia mtihani au vipi Na ivyo ndivyo ilivyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom