Wadau king'amuzi cha azam kinahitajika

Wadau king'amuzi cha azam kinahitajika

Nami nahitaji king'amuzi cha azam bila dish.Pesa yangu ni elf 60 hela ya kitanzania
 
Unakiuza bei gan mkuu
Nataka kiwe full
Mi nataka kuhama star times

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Dish sina,kipo king'amuzi na remote yake. Dish bado nalitumia,ulizia kwanza dish kwa mawakala watakuuzia bei gani. Dstv king'amuzi bila dish,wanauza Tsh.59,000/=. Me ntakuuzia elfu 40.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu soma vzuri update yangu nimemaanisha azam cyo dstv

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuelewa sana ndo maana nilisema hv...!

71d8d8146d363745aec7e54cb9a8f80d.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom