Wadau Ibrahim pasha ndio nani na atazikwa wapi

Wadau Ibrahim pasha ndio nani na atazikwa wapi

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Nimetembea leo mitaa ya posta ,kariakoo,Daladala na ubungo kila mahali watu wanamzungumzia Ibrahim pasha kila kundi la watu unaloliona basi jina la Pasha linatawala na nyuso za wadau zikiwa na huzuni na wanalalamika.

Naombeni mnitoe tongotongo huyu pasha alikuwa msanii,diwani au ni nani maana nimeshindwa kuwauliza wadau maana kila mtu anaonyesha taswira ya huzuni na wakimzungumzia nimeogopa kuwakera na mwili wake utaagwa wapi?
 
Kumbe ni yule pasha wa Sultan [emoji47]
 
Back
Top Bottom