Jagermaster JF-Expert Member Nov 6, 2010 654 317 Mar 7, 2012 #1 Tusaidiane kuipa maneno hii picha. JK akiwasili kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa polisi CCP Moshi mapema week hii
Tusaidiane kuipa maneno hii picha. JK akiwasili kwenye ufunguzi wa mkutano mkuu wa polisi CCP Moshi mapema week hii
Kibukuasili JF-Expert Member May 15, 2010 1,050 605 Mar 7, 2012 #2 Mi sina neno la kuipa, lakini nimeona suruali panga limekolea! Ya IGP ina mstari wa kamba
aikaruwa1983 JF-Expert Member May 6, 2011 1,398 1,499 Mar 7, 2012 #3 Jk - nimekukubali mtu wangu majority wanajua ni polo kumbe ni ddt
N-handsome JF-Expert Member Jan 23, 2008 2,453 556 Mar 7, 2012 #4 Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
majonzi Senior Member Sep 25, 2007 176 22 Mar 7, 2012 #5 Mwema jamaa kanifuraisha sana kamaliza kazi na file kapeleka DDP mcheck kwa stail yoyote teeeh teeeh
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Mar 8, 2012 #6 aisee, huu jamaa leo katinga suti mpya sababu yangu!!!?? tehe tehe tehe tehe
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Mar 8, 2012 #7 Amavubi said: aisee, huu jamaa leo katinga suti mpya sababu yangu!!!?? tehe tehe tehe tehe Click to expand... ....tena na amefanya na scrub......
Amavubi said: aisee, huu jamaa leo katinga suti mpya sababu yangu!!!?? tehe tehe tehe tehe Click to expand... ....tena na amefanya na scrub......
Jagermaster JF-Expert Member Nov 6, 2010 654 317 Mar 8, 2012 Thread starter #8 Na hii wakati anaondoka
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 Mar 8, 2012 #9 jk akimpongeza bro kwa kutangaza mwakyembe hajapewa sumu.
Renegade JF-Expert Member Mar 18, 2009 7,126 6,764 Mar 8, 2012 #10 Jamaa naye kahongwa suti kama JK, Kama shukrani kwa kazi aliyoifanya.