Wadau dua zenu nipo safarini

Wadau dua zenu nipo safarini

kalikumutima

Senior Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
147
Reaction score
47
Leo nimeanza safari ya kwenda kahama kwa ajili ya mapumziko ya pasaka na kusalimia wapiga kura wangu
 
Safari njema!,huko kwako maauaji ya albino/vikongwe hali ipoje?,tumia nafasi hii kutoa elimu kupunguza hizo mambo...
 
Leo nimeanza safari ya kwenda kahama kwa ajili ya mapumziko ya pasaka na kusalimia wapiga kura wangu

Safari njema!,huko kwako maauaji ya albino/vikongwe hali ipoje?,tumia nafasi hii kutoa elimu kupunguza hizo mambo...

Mara ya mwisho ulikwenda wasalimia wapiga.kura wako lini? je umechukua hatua gani kuhusu mauaji ya albino ambao nao ni wapiga kura wako? au ndio unarudisha miguu tangu ulipotoka 2010? hata hivyo safari njema mkuu
 
Asanteni kwa wishes zenu.La mauaji ya albino kwa kweli ni suala linagusa wengi ntajitahidi hasa kukutana na viongozi wa kiroho ili kuhimiza watu kuwa na hofu ya mungu.Mara ya nwisho kwenda ni 2013 na safari hii nataka niweke mazingira ya kuanzisha Luigi ya mpira wa miguu mwezi juni yenye kauli mbiu,"Tetea Albino zuia mauaji yao jukumu ni letu site"
 
Kila la heri Mkuu. Ni kusalimia wapiga kura tu au kujipanga kwa uchaguzi ujao pia?
 
Back
Top Bottom