Wadada wasaloon wanatafutwa

Lupamba's grandson

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
1,230
Reaction score
1,199
Wanatafutwa wadada wawili wasaloon wawe na uzoefu katika mambo ya saloon kwa maana ya kutengeneza nywele na mengine yote yahusianayo na maswala ya nywele ,kufanya makeup, kusuka mitindo na mengineyo. Saloon ipo kariakoo mtaa wa lumumba, vifaa vyote vipo, inakila kitu kinachohitajika na msusi na mtu wa saloon, ,kwa ayekidhi vigezo hivyo ani PM ,wanahitajika haraka ,wahi ,salary ni maelewano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…