Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,554
- 2,717
Wale watoto ni hatari bhn, kwa kweli nikiona dera akili inaruka hata kama sio mzuri sana.
Kuna ile staili ya kulibana upande mmoja, ama ile ya kulibana kwenye kwapa, sasa hizo zote tisa kumi ni ile ya kulibana pande zote. Basi huwa navurugwa hadi nasahau kama sikuletwa duniani kwa ajili ya ngono.
Wanaovaa sarawili na vitopu wananikera tu! Hakuna mdada anaevaa dera asipendeze hata kama hana Nyash.
Kiukweli dera linanipaga vibe. Wadada mnaovaaga madera namuomba mungu awaandalie mahali penu peponi na huko awaruhusu kuendelea kuvaa madera.
Hawa wa suruali na vitopu wachomwe moto wapuuzi.
NB: kama ukitaka mada za seriously nitag kule kwenye jukwaa la uchumi.
Kuna ile staili ya kulibana upande mmoja, ama ile ya kulibana kwenye kwapa, sasa hizo zote tisa kumi ni ile ya kulibana pande zote. Basi huwa navurugwa hadi nasahau kama sikuletwa duniani kwa ajili ya ngono.
Wanaovaa sarawili na vitopu wananikera tu! Hakuna mdada anaevaa dera asipendeze hata kama hana Nyash.
Kiukweli dera linanipaga vibe. Wadada mnaovaaga madera namuomba mungu awaandalie mahali penu peponi na huko awaruhusu kuendelea kuvaa madera.
Hawa wa suruali na vitopu wachomwe moto wapuuzi.
NB: kama ukitaka mada za seriously nitag kule kwenye jukwaa la uchumi.