Hakuna demu rahisi kumtongoza kama aliyemaliza chuo then hana mtu, hata kama kaajiriwa.
Ninao mifano yao wengi tuu, tumemaliza nao na sasa baadhi ni single mamaz na wengine watangatanga tuu.
Wadada tambueni lifespan ya ujana ni fupi sana, msiichezee vibaya.
AT YOUR OWN RISK.