Maskini jomoniii umeandika kwa jazba mpaka nimejihisi vibaya,ni kawaida hiyo chuo soko ni kubwa sana,subiri amalize unaweza tafutwa wewe kama shilingi ya mkoloni,.
Maskini jomoniii umeandika kwa jazba mpaka nimejihisi vibaya,ni kawaida hiyo chuo soko ni kubwa sana,subiri amalize unaweza tafutwa wewe kama shilingi ya mkoloni,.
Mademu wa chuo ukiwaendekeza unazika wallet mapema sana... Mmoja kafariki jana alisomesha manzi harafu kamaliza kaolewa na baharia mwingine jamaa kahoji kajibiwa sema gharama zako tukulipe.... Age imeenda kidogo
Kuna mdada mmoja kipindi yupo chuo niliplan kumuoa angaringa sasa ananibembeleza hatari wakati huu mimi sina mpango naye,nadhani kupitia uzi wako watajifunza