wadada wa chuo ringeni tu

Ila wakuu mnahonga saana aseeh...

Yaani huyo demu wa kama kumiliki VX V8 unakuwa unampa shingapi kwa siku wazee?
 
Maskini jomoniii umeandika kwa jazba mpaka nimejihisi vibaya,ni kawaida hiyo chuo soko ni kubwa sana,subiri amalize unaweza tafutwa wewe kama shilingi ya mkoloni,.

Pole ee
Aahahah Hii "pole" yako, sijaielewa mamy!! Ni umetoa pole as pole?? Au umevunjika mbavu??.
 
Kuna mdada mmoja kipindi yupo chuo niliplan kumuoa angaringa sasa ananibembeleza hatari wakati huu mimi sina mpango naye,nadhani kupitia uzi wako watajifunza
 
Anza kuwekeza kwangu jamani naanza chuo mwezi wa tisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…