Wadada tusilazimishe ndoa

Shunie

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
157,054
Reaction score
463,971
Habari MMU,

Nimekutana na hii story kwenye group letu uko mdada anasema anapendana vizuri na mpenzi wake na kila mtu anaishi kwake wapo kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana. Anasema mwanaume ana kazi nzuri sana ana kila kitu ila akimwambia amuoe mwanaume anamwambia hajajipanga na kuna muda wanagombana akianzisha swala la ndoa.

Wadada wenzangu ndoa hailazimishwi kabisa mwanaume mwenyewe atakuja atakwambia baby nahitaji kukuoa naomba unipeleke kwenu. Haya mambo ya kumlazimisha mwanaume mwisho wa siku ndoa haina amani mwanaume kukurudia usiku wa manane ukimuuliza na kupigwa utapigwa.

Kingine kama Mungu kakuandikia wewe ni wa kuolewa utaolewa tu kama ni wa kudanga utadanga tu, tusikate tamaa hata umri ukienda vipi ipo siku tu.
 
Mpe pole shoga ako aseeh.

Ila naona kama mnatutafsiri vibaya. Kwani kuwa na kazi nzuri na kila kitu ndiyo guarantee ya kuoa?


Mwisho kwa waliopo katika uchumba wajue Sio kila mahusiano yanaishia kwenye KUOANA.

Asanteni kama kuna swali niulizwe haraka.
 
Ngoja nije nikuulize daby
 

Kwa wale ambao wanaogopa kufanya/kuendeleza dhambi ya uzinzi huoa akishakuwa angalau vizuri kiuchumi.
 
hahahhahah Daby ata kukuuliza nimeshindwa ila nitakuuliza tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…