Wadada taratibu jamani, kama ni biashara mseme kabisa

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,149
22,725
Wakuu poleni na hongereni kwa kazi.

Ni hivi. Wiki mbili zimepita kuna demu nilimuomba game. Akasita sita kama siku tatu hivi. Nikampotezea. Jana kaniomba laki.

Hapa kazini, kuna single mom. Yuko vizuri sana. Nimekua nikimuomba game kwa muda mrefu.. Jana akaniuliza... Niko serious kweli, nikamwambia ndio. Tukapanga tukapige game kesho J tano. Leo asubuhi ananiambia Mbona M pesa haijacheka. Yani nitume hela kwanza. Nimechoka.

Mtaani kuna mtoto mmoja mkali sana, nikaonyesha interest kwake, baada ya kuona anaelekea nikamuomba namba ya cm.. Akaniambia hana simu. Maana yake nijiongeze. Nikachoka.

Sasa swali kwenu akina dada, huduma hiyo sasa imekua biashara?? Kama ndio, basi si muaze kutoa na risiti, VAT.
 
Ndio masna ake.. Hata mie juzi dem kaja geto akataka kuniuzia.. Nikamwambia aende tu.. Pia mpenzi wa zamani nilimuomba tukumbushie akakataa kunipa bure mpaka nimtoe na mtonyo.... So in short.. The era of free P is finally over!
Inashangaza sana mkuu..
 
Ni kweli kabisaa yani hawakosi njia za mkato za kupiga pesaa, hawa dawa yao IPO , kama huyu hapa
mshikaji,.hey mambo mrembo uko powa

demu,; Niko powa vipi

mshikaji., safi sasa Leo utakuja kama juzi?

demu,, ndio bby, nine na miguu jamani

mshikaji.;: hee..! ,unataka kuiacha kwaniii

demu,: block, block
 
Back
Top Bottom