Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
.
Mkuu sijaelewa inamaana hio manzi yako ndio imekuita mbumbumbu au?Mambo ya kuambia boy wako sijui hujui kitu, Mbumbumbu ukimpa maelekezo kistaarabu anayageuza kusema we hujui mara hujielewi hata kama hajasoma tafadhali mheshim tu ninahasira kishenzi nimetoka kugeuza hii manzi kuwa chombo ya kula na kuepa sababu ni ujuaji... Yaani utadhani amenitoa leo kwetu Masasi Ntwala.
Wallah hatupendi hizi pigo wadada tuheshimiane
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio afu issue haikua kubwa ni maongezi ya kawaida tumebishana lisaa nikanyamaza ndo akaropoka sana dahMkuu sijaelewa inamaana hio manzi yako ndio imekuita mbumbumbu au?
Maendeleo hayana chama
Pole mkuu Ila ilipaswa umuonyeshe kua wewe ndio kichwa cha familia ili siku nyingine asikuletee upuuzi wa namna hio.Ndio afu issue haikua kubwa ni maongezi ya kawaida tumebishana lisaa nikanyamaza ndo akaropoka sana dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananipazia sauti afu ukizingatia hata wiki tatu hatujatimiza, nikiongea mawili anaongea 10 mfululizo...Pole mkuu Ila ilipaswa umuonyeshe kua wewe ndio kichwa cha familia ili siku nyingine asikuletee upuuzi wa namna hio.
Maendeleo hayana chama
Inabidi uweke hapa hiyo issue ili tujue nanii yupo sahihi?Ndio afu issue haikua kubwa ni maongezi ya kawaida tumebishana lisaa nikanyamaza ndo akaropoka sana dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio afu issue haikua kubwa ni maongezi ya kawaida tumebishana lisaa nikanyamaza ndo akaropoka sana dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hasira mkuu huwa sijibishani afu ndio maana niliamua kunyamaza ajimalizeUsirudie tena kubishana na Mwanamke, umekosea sana. Toa msimano wako basi. Mwanaume ni wa Muhimu kuliko Mwanamke
Sio kubishana kwa makelele hapana yàni najaribu kumueleza hili ye anasema hili so majibizano yalikua kwenye kuelekezaInabidi uweke hapa hiyo issue ili tujue nanii yupo sahihi?
Halafu unabishanaje lisaa lizima Mkuu?
copy paste komenti yangu kutoka uzi mwingine ule