hiyo ni kukaribisha majipu, haipo hiyo maana wanawake wako wengi alichonacho nitakipata popote, yeye ameshagegedana vya kutosha leo hii baada ya kukosa soko ndio anajileta kwangu.. Mm sio fungu la kukosa au muokota mizoga
pole sana, hua inauma kuachwa kwa sababu ya kipato .Kaanaye mfundishe kutafuta maisha sio kutafuta wanaume wenye maisha mazuri. Then msamehe anaweza kuwa mke mzuri