Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,113
Anaemiliki nini???GARI?!NYUMBA?!SHAMBA!? Mi siwezi kumilikiwa....Shangazi we mkali!Inamaana sina anko mbongo!!Ila hao inaonekana walikuwa full romantic!Mpaka anaemiliki muda huu!!!!
Anaemiliki nini???GARI?!NYUMBA?!SHAMBA!? Mi siwezi kumilikiwa....Shangazi we mkali!Inamaana sina anko mbongo!!Ila hao inaonekana walikuwa full romantic!Mpaka anaemiliki muda huu!!!!
Gari lipi....?!Mi naendesha baiskeli!Si anaemiliki hilo gari!Au wajifanya hujui shangazi?
Usirudi tena.Nilikuwa napita tu.
Khaaaa!!!?Huko sasa nadhani ndo kuvunjiana heshima!Shangazi bwana,haya nisije ambiwa nimekuvunjia heshima bure,ila msalimie anko,nampa tano kwa kuweza kuula mfupa uliomshinda fisi!