Wadada na makalio yao

Wadada na makalio yao

Nyie mwavaa milegezo almaarufu kata k, boxa za tmk wanaume mnaacha nje.... Yani suruali ipo chini ya kalio mbona hamlalamikiwi?
Hakuna anaevunja sheria......
Kwahiyo kwa uvaaji huo wa wanaume nao unawatamanisha nyie wanawake??
 
Back
Top Bottom