Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 940
Sijui hata niandike vipi lakin leo nimeamin lisemwalo lipo kama halipo laja
Basi jana nimekutana na pisi moja kali kitambo naiwinda jana ikajileta ofisini kwangu nikaona isiwe tabu nikaifanyia kaz yake fresh nikachukua contact bas nimejielezea vizur ikanambia itanjbu bas leo asubuh ananiomba 10000 nikamwambia hebu njoo hapa job kwanza nikaongea nae vizur akanambia atanijbu
Note:mpka anaiomba pesa hajanipa majbu yakueleweka sasa kwavile mm sio mnyonge nikampa buku 5 halaf akasepa sas hapa najiuliza niwe mnyonge kijanja nile mzigo nijilipe then nikatie njia panda au niwah folen mapema nisijeuza mpk kitanda
Naomben ushaur wenu. Uzi tayar
Basi jana nimekutana na pisi moja kali kitambo naiwinda jana ikajileta ofisini kwangu nikaona isiwe tabu nikaifanyia kaz yake fresh nikachukua contact bas nimejielezea vizur ikanambia itanjbu bas leo asubuh ananiomba 10000 nikamwambia hebu njoo hapa job kwanza nikaongea nae vizur akanambia atanijbu
Note:mpka anaiomba pesa hajanipa majbu yakueleweka sasa kwavile mm sio mnyonge nikampa buku 5 halaf akasepa sas hapa najiuliza niwe mnyonge kijanja nile mzigo nijilipe then nikatie njia panda au niwah folen mapema nisijeuza mpk kitanda
Naomben ushaur wenu. Uzi tayar