Wadada mnisamehe kidogo!

Usaliti ndiyo usiseme, kuna wengine anaweza kuwa yupo vizuri lakini mwenza anankuwa mzinzi naye analipa kisasi na wenye visasi ni wanawake baada ya kuchoshwa
Dah mi sipendi sana usaliti ila ndio napata wanawake wasaliti adi inakera yani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…