Wadada mnamaanishaga nini?

Wadada mnamaanishaga nini?

Mkali_01

Senior Member
Joined
May 13, 2015
Posts
166
Reaction score
117
Habari wana jamvi. Niende direct kwenye mada, ivi ni kwanini ukiwa na manzi ndani alafu mmelala wote ile umeamka asubuhi na umetimiza wajibu wako wa kupiga morning glory sasa wakati unataka utoke kitandani ujiandae kwa ajili ya kazini utaskia hubby usiende leo!! Kkhaa!!
Mimi apo ndo nachoka. Nisiende hizo hela za matumizi ntazipata wapi.?

Na hapo ukikosa hela mtu ananuna sasa mueleweke vipi?
Na je mkisemaga ivo mnamaanisha kweli mtu asiende au??
 
Habari wana jamvi. Niende direct kwenye mada, ivi ni kwanini ukiwa na manzi ndani alafu mmelala wote ile umeamka asubuhi na umetimiza wajibu wako wa kupiga morning glory sasa wakati unataka utoke kitandani ujiandae kwa ajili ya kazini utaskia hubby usiende leo!! Kkhaa!!
Mimi apo ndo nachoka. Nisiende hizo hela za matumizi ntazipata wapi.?

Na hapo ukikosa hela mtu ananuna sasa mueleweke vipi?
Na je mkisemaga ivo mnamaanisha kweli mtu asiende au??
km hana mihangaiko basi sio kosa lake mjibu kistaarabu tu kuwa huna hela unaenda kutafuta
 
Na hii haijalishi wa chuchu saa sita wala wahenga wenzangu.

time will tell
 
Ngoja wenye kazi waje wajibu..

Mimi nisiye na kazi huwa wanaaga wenyewe" Hubby bye tutaonana baada ya wiki, hapa nilipo kila kiungo kinauma.."
 
Ngoja wenye kazi waje wajibu..

Mimi nisiye na kazi huwa wanaaga wenyewe" Hubby bye tutaonana baada ya wiki, hapa nilipo kila kiungo kinauma.."


Haaaaaa haaaaaa haaaaaa. Nimecheka sana japo kwa huzuni maana umesema ni wengi kwa kiasi fulani mfuko wa ARVs unaweza ukakuhusu muda siyo mrefu sana.
 
Haaaaaa haaaaaa haaaaaa. Nimecheka sana japo kwa huzuni maana umesema ni wengi kwa kiasi fulani mfuko wa ARVs unaweza ukakuhusu muda siyo mrefu sana.

Hiyo hainitishi, Ukimwi siku hizi kama mafua tuu!!
 
Ohhooo....
Naona nimekosea jukwaaa, nikajua ni MUM.... kumbe sio.....
 
Back
Top Bottom