clixus
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 817
- 641
Kwa niaba ya wanaume wote wanaonukia vizuri na kuvaa vizuri nawasilisha hili
Leo nikiwa tumesimama na mdada sehem hivi tukiwa tunangoja Huduma za kawaida za kijamii basi akawa ananishangaa sana mpaka naondoka akawa ananiangalia bahat mbaya hadi akajikwaa kwenye kijiwe na kuanguka chini.
Pindi naishia kukata kona nikageuka kuona mtu anainuka na kujifuta akiwa anacheka ila ni pini kiasi chake.
Ombi langu jitahidini muombe namba wengine sisi ni single boy.
Leo nikiwa tumesimama na mdada sehem hivi tukiwa tunangoja Huduma za kawaida za kijamii basi akawa ananishangaa sana mpaka naondoka akawa ananiangalia bahat mbaya hadi akajikwaa kwenye kijiwe na kuanguka chini.
Pindi naishia kukata kona nikageuka kuona mtu anainuka na kujifuta akiwa anacheka ila ni pini kiasi chake.
Ombi langu jitahidini muombe namba wengine sisi ni single boy.