Wadada mkituelewa ombeni namba

Wadada mkituelewa ombeni namba

clixus

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
817
Reaction score
641
Kwa niaba ya wanaume wote wanaonukia vizuri na kuvaa vizuri nawasilisha hili

Leo nikiwa tumesimama na mdada sehem hivi tukiwa tunangoja Huduma za kawaida za kijamii basi akawa ananishangaa sana mpaka naondoka akawa ananiangalia bahat mbaya hadi akajikwaa kwenye kijiwe na kuanguka chini.

Pindi naishia kukata kona nikageuka kuona mtu anainuka na kujifuta akiwa anacheka ila ni pini kiasi chake.

Ombi langu jitahidini muombe namba wengine sisi ni single boy.
 
Yaani haya yote umeyaona na hukuonesha kama wewe ni mwanaume! !!!

Umezingua sana brother!
Baadae usingizie wanawake?

Kikwetu kwetu hawawezi, labda wanawake wa nje ndiyo wenye huo ujasiri.

Umechezea fursa
Kwa niaba ya wanaume wote wanaonukia vizuri na kuvaa vizuri nawasilisha hili

Leo nikiwa tumesimama na mdada sehem hivi tukiwa tunangoja Huduma za kawaida za kijamii basi akawa ananishangaa sana mpaka naondoka akawa ananiangalia bahat mbaya hadi akajikwaa kwenye kijiwe na kuanguka chini.

Pindi naishia kukata kona nikageuka kuona mtu anainuka na kujifuta akiwa anacheka ila ni pini kiasi chake.

Ombi langu jitahidini muombe namba wengine sisi ni single boy.
 
Mi ni mtu mbaya ila sikutaka mimi kuanza conversation ila pitia profile soma occupation yangu alafu ujue kutongoza kwang kitu simple sana.
Yaani haya yote umeyaona na hukuonesha kama wewe ni mwanaume! !!!

Umezingua sana brother!
Baadae usingizie wanawake?

Kikwetu kwetu hawawezi, labda wanawake wa nje ndiyo wenye huo ujasiri.

Umechezea fursa
 
Yaan kwa kunukia tu manzi amekuelewa!?? unatumia perfume aina gan Iyo!??
 
Yaani haya yote umeyaona na hukuonesha kama wewe ni mwanaume! !!!

Umezingua sana brother!
Baadae usingizie wanawake?

Kikwetu kwetu hawawezi, labda wanawake wa nje ndiyo wenye huo ujasiri.

Umechezea fursa
Nasapoti hoja[emoji848]
 
Yaan kwa kunukia tu manzi amekuelewa!?? unatumia perfume aina gan Iyo!??
Yaah kwa kunukia vizuri ni kwanini asikuelewe na natumia tatu kwa kubadilisha siku majina yake ni Ralph Lauren for men( hii ndo bei kubwa), l'oreal men na nivea for men.
 
Hongera ,tumejua unanukia vizuri mkuu, nakuja kuomba namba pia, ila huenda huyo Dada alikua anakushangaa ulivyovaa(kituko) ,maana vijana wa siku hizi kuvaa vizuri ni kuvaa visuruali flani vimebana na vimekatwa katwaaa. So usijipe hope sanaa,huhuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom