Wadada makwapa hayo

Kaka hapo mzigo ndio hauliki tena...yaani utapiga chafya hadi lile kamasi la mwisho likutoke....phweeee!!!

Sure mkuu halafu wanajifanya masister duuh kumbe hawana lolote wachafu kuliko,halafu ukute pafyume yke imechanganyika na jasho hiyo smell sasa unaweza usile mzigo miezi 6.
 
Noma Sanaa



=========================
Ukipa Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa.
=========================
 
OKEY. tumesikia lakini michirizi ya kwapa haina shida kaka. asante kwa ushauri.
 
Yaani ni bora hata wasipake hiyo duodoranti...hapo ndio huwa wanatibua kabisa utadhani limesuuzwa na maji ya mtaro...

Kwapa lina mwaka mzima halijui harufu ya duoderant,mtu unapata wapi confiedence
za kushika bomba la daladala
 
Mwataka tubalansi kwani siye twauza nyama buchani hapa...
Wanaume wanajiachia wazi kwa kuwa wana misuli ya kuonyesha...
Sasa nyie mwajiacha wazi hiyo misuli yenyewe iko wapi kama si mwatuonyesha misharubu tu ile kama kibrashi cha chachandu...eboh!!

kibrash cha chachandu? Daah mkuu leo umeniacha hoi!!!
 
leo kweli mnao, karibu kila nakokatza mnao, wanaongelewa wao tu.
 
Bora wewe bi mkubwa umeelewa...halafu hebu jaribu kutafuta na kioo cha kujitazamia huko kama mnavyotembea na vile vyenye pouda vya kujitazama risepsheni zenu...

OKEY. tumesikia lakini michirizi ya kwapa haina shida kaka. asante kwa ushauri.
 
Mwataka tubalansi kwani siye twauza nyama buchani hapa...
Wanaume wanajiachia wazi kwa kuwa wana misuli ya kuonyesha...
Sasa nyie mwajiacha wazi hiyo misuli yenyewe iko wapi kama si mwatuonyesha misharubu tu ile kama kibrashi cha chachandu...eboh!!

Mambo kuBalance mpaka buchani eeeehhh????
Misuli si kwa ajili ya vitenki vyao vya kishikaji walivyonavyo!!!!!!!!Wengine wana singa bwana......
 
Aisee umeua aisee, its a murder. Public murder. Mbavu zina tabu sometimes
 
Mwataka tubalansi kwani siye twauza nyama buchani hapa...
Wanaume wanajiachia wazi kwa kuwa wana misuli ya kuonyesha...
Sasa nyie mwajiacha wazi hiyo misuli yenyewe iko wapi kama si mwatuonyesha misharubu tu ile kama kibrashi cha chachandu...eboh!!

kibrash cha chachandu? Daah !hahahahahahaha! Madame B Upo wapi?
 
Last edited by a moderator:
Thubutuuu....eti sio wote kwani hao wengine ndio wana makwapa ya plastiki.
Tunzeni makwapa yenu kama mnavyotunza nonino zenu banaa....

Zinatunzwa sana......kikwapa wengine ni ugonjwa!!!!
 
ila kale ka harufu ni zaid ya kero. Uwe karbu nae mmetoka k/koo mnaenda mbez mwisho, na hyo foleni hakyanani utaomba amani
 
Mkimaliza semeni tuwape maji mshushie!!!!!!
 

Daddy, hebu punguza UKALI WA MANENO ujue wanao tuko humu pia alaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
 
Ni bora hao wanawake wanaokwangua na wembe unakuta janaume halinyoi kabisaaa na ni wengi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…