miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
through decision making btn us.
Not enough
through decision making btn us.
Na safari lager
Not enough
and they want what they can not get..
They get what they dont know how to use it
hapana na watoto
Nisiigawe kwani ni sumu hii we vipi...
ni kweli so what should they do?
Stay Put mkuu
Nawathale tu nangojea kithibitiMnaelekea wapi...
watakuwa walikuwa wanakupenda,wangekuwa hawakupendi wasingekasirika kukuona na mwingine.
kwanini walikukataa?inawezekana walifikiri ungeendelea kuwabembeleza au hawakuwa wanakupenda kweli lakini baada ya kukuona na mwingine feelings zika develop ghafla
Anaweza kukataa mara ya kwanza lakini ule ukaribu wenu unaweza kumfanya akupende taratibu sasa yeye anapoanza kuwa in wewe unakuwa out na kumtaka mtu mwingine aagh! mnuno lazima
inategemea na mazingira ya kufahamiana kwetu ndio yanayopelekea jibu litoke haraka au likawie,mfano tumeonana kwa mara ya kwanza kwenye certain occasion,sijui hata back ground yako,then unanitongoza,hata kama nimevutiwa na wewe kwa kiasi gani itanichukua muda kukukubali,tofauti na mtu ninae sali nae kanisa moja au nafanya nae ofice moja au nakaa nae mtaa mmoja naweza kumkubali haraka coz ni mtu ninaemfahamu kwa kiasi fulani
Siyo lazima utongozwe utoe hata wewe unaweza ukamwona kijana ukamtamani ukamweleza mamtizo yako akaupatia tiba
ndo manake hata sahivi mi ndo huwa nawatongoza....