Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Tabia zenu hizo
Za kunywa konyagi
Tabia zenu hizo
Aibu aibu zilimfanya kitimoto akakosa mkia
sa kama walikuwa wanakupenda vunga za nini?
Kamata baby yako kiuno roho ziwatoke....
Za kunywa konyagi
hii kitu ipo sana kwaio tuchukulieni ivo ivoooo
Hehehehhe shemejiiiii
Shem mi sipendi hiyo tabia ya kujivunga vunga mtu ume fall lakini unajitia aibu aibu
mi ningekuwa mwanaume mimi sijui tu,bora hata sikuwa wa kiume
Karibu tujenge taifa
hawa watu mwalimu mwalimu wao n kipofu, Nilimtokea dem akanizungusha sana kama miez 3 nikapotezea, alikua na best wake nikatupa ndoana wiki haikuisha mtt kajaa, mapenzi yakapamba moto. alie niringia wivu ukampanda wakawa m2 na shost yake hawaongei, wadada kumbe mwapenda kwa nn mpaka mringe kwanza?
unafikiri ni sahihi na inapaswa kuendelea Manka M au mabadiliko yahitajika?
labda unikaribishe tuijaze dunia
Shem mi sipendi hiyo tabia ya kujivunga vunga mtu ume fall lakini unajitia aibu aibu
mi ningekuwa mwanaume mimi sijui tu,bora hata sikuwa wa kiume
Nisiigawe kwani ni sumu hii we vipi...Hata ulivyo unaweza ukawa unawagawia tu papuchi
Hahaha ha oh hell no how much you have To i.?mpelment it
labda unikaribishe tuijaze dunia