Wadada kwanini mnakuwa hivi?

Wadada kwanini mnakuwa hivi?

Malengo Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
287
Reaction score
99
Heshima kwenu nyote!

Binafsi nkimuaproach mdada akareject ataendelea kuwa rafiki yangu kama kawaida! Ntaendelea kumpa hi, kutaniana n.k infact life litaendelea kusonga mbele as usual and someone hawez kunotice any difference.

Lakini kinachonishangaza ni kuwa mahusiano yangu na 2 ladies ambao nimewahi kuwaaproach yamebadilika baada ya wao kugundua kuwa am in a relation with another lady!

Najiuliza why?! Je, nawaumiza roho? Je, walitaka niendelee kuwa peke yangu japo wao hawakuwa tayari kuwa na mimi? Je, walikuwa wananitaka ila waliona aibu kunikubali? Je, nawaumiza napowapa hi?

MMU ladies can u plz help me kwanini kumchukia uliyemkataa baada ya kugundua kuwa kuwa amekubaliwa na mwingine?
 
Unajua bwana hata mwanaume akikuacha hua anataka uendelee kua cngle upate shda...ili aone kua unampenda lkn ukipata wako inakua inamuuma akiona hushtuki upo tu...basi hvohvo mwanamke ukimtongoza akikataa anataka kuona ukiwa unamfatilia tuu ili aone kua unampenda ..ajickie proud flan hvi.....so ndo hvo bwana
 
Walikuwa free na wewe as a friend ulipokuwa huru,sasa uko kwenye mahusiano mipaka ni muhimu.
Wewe unaweza ukachukulia poa urafiki wenu ila huyo bint uliyenaye asielewe,nani anataka simu za kuulizwa "Unamfahamu Malengo Jr? Kama nani?"
Bora wajiweke mbali mapema mbaki kusalimiana mkikutana kama ajali!!!
 
Last edited by a moderator:
kwa sababu hautakuwa free na wao ndio maana wamechukia... mwnamke anajifunza kupenda pole pole yawzekana walikuwa wanakutega urushe ndoano tena uwanase sasa wewe ukarusha kwingine lazima nichukie
 
Unajua bwana hata mwanaume akikuacha hua anataka uendelee kua cngle upate shda...ili aone kua unampenda lkn ukipata wako inakua inamuuma akiona hushtuki upo tu...basi hvohvo mwanamke ukimtongoza akikataa anataka kuona ukiwa unamfatilia tuu ili aone kua unampenda ..ajickie proud flan hvi.....so ndo hvo bwana



Very possible!
 
Mnaelekea wapi...

to build our nation with indexmmmm.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom