Malengo Jr
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 287
- 99
Heshima kwenu nyote!
Binafsi nkimuaproach mdada akareject ataendelea kuwa rafiki yangu kama kawaida! Ntaendelea kumpa hi, kutaniana n.k infact life litaendelea kusonga mbele as usual and someone hawez kunotice any difference.
Lakini kinachonishangaza ni kuwa mahusiano yangu na 2 ladies ambao nimewahi kuwaaproach yamebadilika baada ya wao kugundua kuwa am in a relation with another lady!
Najiuliza why?! Je, nawaumiza roho? Je, walitaka niendelee kuwa peke yangu japo wao hawakuwa tayari kuwa na mimi? Je, walikuwa wananitaka ila waliona aibu kunikubali? Je, nawaumiza napowapa hi?
MMU ladies can u plz help me kwanini kumchukia uliyemkataa baada ya kugundua kuwa kuwa amekubaliwa na mwingine?
Binafsi nkimuaproach mdada akareject ataendelea kuwa rafiki yangu kama kawaida! Ntaendelea kumpa hi, kutaniana n.k infact life litaendelea kusonga mbele as usual and someone hawez kunotice any difference.
Lakini kinachonishangaza ni kuwa mahusiano yangu na 2 ladies ambao nimewahi kuwaaproach yamebadilika baada ya wao kugundua kuwa am in a relation with another lady!
Najiuliza why?! Je, nawaumiza roho? Je, walitaka niendelee kuwa peke yangu japo wao hawakuwa tayari kuwa na mimi? Je, walikuwa wananitaka ila waliona aibu kunikubali? Je, nawaumiza napowapa hi?
MMU ladies can u plz help me kwanini kumchukia uliyemkataa baada ya kugundua kuwa kuwa amekubaliwa na mwingine?