Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
Mfyuuu
we andunje nini???
Huo msonyo wa Sweetheart
Hahahhaha....
Hahahahahaha kumbe hata wanaume huwa wanaumia roho!!?? wakati mnaongoza kucheat mkishapendwa! Hongereni wadada mnaofanya ivyo.Ringeni na vyenu.Zamu yao kuumia.
Unavofikir mimi na wewe nani andunje
Mrembo upo ??
Kuna uzi nilipost hapa kutafuta mke wa kuoa, yule dada alikuwa na vigezo vyote nivitakavyo but hakuwa serious kwa sababu yeye aliniambia atakuwa tayari kuolewa Mwakani, wakati mimi nahitaji kuoa Mwaka huu. Kwa hiyo kwa wadada naomba muwe serious na hisia na utayari wa watu wengine.
Kupitia uzi huu naomba nitoe tena ombi kwa mdada aliye tayari ani PM, Awe na kazi halali, mrefu wastani na umbo la kawaida, mengine tutajulishana zaidi.
Kuna uzi nilipost hapa kutafuta mke wa kuoa, yule dada alikuwa na vigezo vyote nivitakavyo but hakuwa serious kwa sababu yeye aliniambia atakuwa tayari kuolewa Mwakani, wakati mimi nahitaji kuoa Mwaka huu. Kwa hiyo kwa wadada naomba muwe serious na hisia na utayari wa watu wengine.
Kupitia uzi huu naomba nitoe tena ombi kwa mdada aliye tayari ani PM, Awe na kazi halali, mrefu wastani na umbo la kawaida, mengine tutajulishana zaidi.
Kuna uzi nilipost hapa kutafuta mke wa kuoa, yule dada alikuwa na vigezo vyote nivitakavyo but hakuwa serious kwa sababu yeye aliniambia atakuwa tayari kuolewa Mwakani, wakati mimi nahitaji kuoa Mwaka huu. Kwa hiyo kwa wadada naomba muwe serious na hisia na utayari wa watu wengine.
Kupitia uzi huu naomba nitoe tena ombi kwa mdada aliye tayari ani PM, Awe na kazi halali, mrefu wastani na umbo la kawaida, mengine tutajulishana zaidi.
Kuna uzi nilipost hapa kutafuta mke wa kuoa, yule dada alikuwa na vigezo vyote nivitakavyo but hakuwa serious kwa sababu yeye aliniambia atakuwa tayari kuolewa Mwakani, wakati mimi nahitaji kuoa Mwaka huu. Kwa hiyo kwa wadada naomba muwe serious na hisia na utayari wa watu wengine.
Kupitia uzi huu naomba nitoe tena ombi kwa mdada aliye tayari ani PM, Awe na kazi halali, mrefu wastani na umbo la kawaida, mengine tutajulishana zaidi.