Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Em edit edit tueleweHabaro za mchana natumai wote mmepata ruch pale food point au kilimanjaro hotel (utani tu kama kawaida yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bado karibu ugali na mrenda na mtindi huku bunyokwa)
Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni
Yangu hayo
Em edit edit tuelewe
Una mwandiko mbaya
Sasa wewe unaandika kama una umwa mafuaHila kuna watu hawajui ata kuandika kama hivi
Sasa we unaandika kama una umwa mafua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dahhh
Huyu mwanaume ni mkware tu. Na hii inamaanisha kuwa hawezi kujizuia na wanawake walio karibu naye. Huyu hata akiletwa dada wa kazi hataweza kujizuia.Habaro za mchana natumai wote mmepata ruch pale food point au kilimanjaro hotel (utani tu kama kawaida yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bado karibu ugali na mrenda na mtindi huku bunyokwa)
Twende kwenye mada
Nina binamu yangu ambaye alipata mimba huko mtaani sasa tukakubaliana wanaume wafamilia kumpeleka huyo binamu kwa mshikaji ambaye amempa mimba.
Tulienda na binamu yangu kwa huyo mshikaji tulipo fika tukaongea nae yule mshikaji hakuwa mbishi halimpokea kwa mikono miwili na akatoa faini laki tatu na nusu
Sasa baada ya kumuacha yule binamu kwa mshikaji mimba ikaaza mtia uvivu hatakai kupika kupika anamuita jirani yake wanapika pamoja yule jirani sasa yule bwana akanogewa na pishi la jirani huyu binamu wetu huyu ni kweli hajui kupika nikisema hajui hajui kabisa
Sasa mdogo mdogo yule bwana akanogewa kule kwa jirani sasa alipo karibia kujifungua akabidi aje home kuja kujifungua kakaaa sasa siku ya kutaka kuludi kwake ndipo mwanaume akatuma barua kuwa huyo asiludi tena huku hila matumizi ya mtoto nitakuwa naatoa
Sasa analia lia kila siku kisa ujinga wake mimi nilimchana nikamwambia hukutakiwa kuruhus mwanamke mwingine ulitakiwa humzoeshe chakula chako ili hajue pungufu lako sasa wewe umempa jirani apike si ujinga huo
Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni
Yangu hayo
Kichwa kinaumaUna mwandiko mbaya
Kiongozi Una tustori.
Utukome.....
Kaka mwachi umetisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ruch au lunch🤣🤣🤣🤣🤣🤣Habaro za mchana natumai wote mmepata ruch pale food point au kilimanjaro hotel (utani tu kama kawaida yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bado karibu ugali na mrenda na mtindi huku bunyokwa)
Twende kwenye mada
Nina binamu yangu ambaye alipata mimba huko mtaani sasa tukakubaliana wanaume wafamilia kumpeleka huyo binamu kwa mshikaji ambaye amempa mimba.
Tulienda na binamu yangu kwa huyo mshikaji tulipo fika tukaongea nae yule mshikaji hakuwa mbishi halimpokea kwa mikono miwili na akatoa faini laki tatu na nusu
Sasa baada ya kumuacha yule binamu kwa mshikaji mimba ikaaza mtia uvivu hatakai kupika kupika anamuita jirani yake wanapika pamoja yule jirani sasa yule bwana akanogewa na pishi la jirani huyu binamu wetu huyu ni kweli hajui kupika nikisema hajui hajui kabisa
Sasa mdogo mdogo yule bwana akanogewa kule kwa jirani sasa alipo karibia kujifungua akabidi aje home kuja kujifungua kakaaa sasa siku ya kutaka kuludi kwake ndipo mwanaume akatuma barua kuwa huyo asiludi tena huku hila matumizi ya mtoto nitakuwa naatoa
Sasa analia lia kila siku kisa ujinga wake mimi nilimchana nikamwambia hukutakiwa kuruhus mwanamke mwingine ulitakiwa humzoeshe chakula chako ili hajue pungufu lako sasa wewe umempa jirani apike si ujinga huo
Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni
Yangu hayo