Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Kuwa na msimamo kama MWANAUME usiyumbishweyumbishwe...Muelezee ukweli kabisa ijapokuwa maumivu ya kupigwa kibuti ni magumu mno
Si bora hata kuzodoa .... Unaona ni sawa maneno uliyotumia ... Saa zingine muwe mnapima uzito wa maneno kabla ya kuyawasilisha ....Hii si mada jamani tudiscuss fairly basi kuliko kuzodoana
Sasa ulijuaje k imewekewa kiraka. Samahani nadhani ni mara yangu kukoment mada za mapenzi ila nimekereka na lugha uliyotumia. Mbaya sana aiseee we do share love ili kuenjoy maisha si kwa kudharauliana kiasi hiki. Haya mambo myafanyeni lkn utu wa mtu pia utunzwe. Mimi ni mwanaume kama wewe lkn UMENIKERA SANAMkuu hiki ni kisa kimetokea hapa jirani sio changu
Imagine unapita mtaani unasikia wanamuongelea dadayako ( kama unaye) kwamba k yake imetumika kiasi cha kuwekewa viraka ungejisikiaje? Hta sina povu ila mjaribu kuheshimu dada zenu hata kama hamjazaliwa tumbo mojaMbona kama imekutoa povu sana vilaka haina uhalisia ila inaweka msisitizo tu