Aisee Khantwe naona nilipita na 180. Uko sahihi, ila mdada kakosea kumegwa na mume wa mtu hapo. Ila kwa huu umakini naomba nitangaze nia ya kubeba jumla na mimi. Tuonane upenuni basi tutete vizuri.Mimi naona kama hujasoma maana mtoa mada amesema huyu dada alikuwa na msimamo sana...mabazazi wote alikuwa anawapa cha mbavu hadi alipojitokeza huyu aliyebeba jumla