We unaonaje?Umesoma mada lakini au umekurupuka tu?
We unaonaje?Umesoma mada lakini au umekurupuka tu?
Natamani kujua alichokosea huyo dada ni nini maana sijaona tatizo lake hapo....katika wale waliomtokea akamchagua mmoja ila bahati mbaya ikabuma...yeye angejuaje? Destiny ipo tu...there's nothing u can do about it
Tatizo we mkuu yaelekea ni wale vijana wa vijiweni yaan mnakaa mnapiga data za wadada mpaka mdomo unapasuka,,, huku mnajiwekea matumain kuwa atayeyuka tu, au ataexpire tu mnaombea wenzenu mabaya il muonekane washindi.
Katika maisha binadam wapo hivi,
ukikaa ndan huchangaman na magrop ya umbea utaambiwa anajisikia sana,
ukiwa unajichanganya na magrop ya wa2 unaambiwa wamekosa kaz wambea wa mtaa,,
ukihudhuria ibada sana na warsha za kanisan unaambiwa anajifanya wa dini/ mama mchungaji,,,
usipohudhuria ibada unaambiwa ulimwengu umemtawala / mpagani,,,,, na mifan mingne yote.
Sasa unataka niishije? Kwanin hakuna jambo lionekanalo jema? Ispokuw cfa zote mbaya?,,,
by theway naishi ni wezavyo acha waseme uck nani atanilinda? Kam c hao.
i miss you too .... how is you?Miss chagga my love......my dream girl......i miss you darling......
ukichagua nazi sana lazima uangukie koroma.... tatizo siyo uzuri tatizo ni choice ... wanawake bwana atakuta anapendwa lakini utakuta yeye anapenda asipopendeka na kukimbizana nako...... pale unapoona unapendwa unajisikia amani, unajisikia kuwa huru na huyo mwenzio.. na unaona utaweza kuwa honesty kwake na ukahisi some how yupo honest kwako just be with that person...... japo mimi naangalia yote hayo na pesa
wanakuta wanaangalia external factor wanadharau moyo... ha ha ha mimi napenda napo pendwa na pesa ikiwa nyuma nyumaHahahaaaaa!! Ewaaaaaaa!
Ila sasa kuna mahali unajilazimisha hadi unataka kuzimia ila hataaa kanafsi hakashtuki jamani, hakuna raha kama kuishi na mtu ambae moyo umemridhia.
nahitaji pesa kama milion mbili na zaid hiviI am very fine my darling.........anything i can do for you my love...........?!
We unaonaje?
Unajua nini best......kwenye maisha huwa kunavitu huwa deep inside we know they are the right things to do ila tunaleta vimsimamo visivyo na mashiko yoyote vilivyojaa ubaguzi uliopitiliza ...........viburi vinatujaa sisi binadamu kuamini tunachotaka ndio kiwe......wengi wanalia now.
Mkemwenza nifundishe kutambua ninapopendwaukichagua nazi sana lazima uangukie koroma.... tatizo siyo uzuri tatizo ni choice ... wanawake bwana atakuta anapendwa lakini utakuta yeye anapenda asipopendeka na kukimbizana nako...... pale unapoona unapendwa unajisikia amani, unajisikia kuwa huru na huyo mwenzio.. na unaona utaweza kuwa honesty kwake na ukahisi some how yupo honest kwako just be with that person...... japo mimi naangalia yote hayo na pesa
kujua kama unapendwa au upendwi lazima uingie kwenye mahusiano at list ujarbu halafu utoke sema wengi mnaogopa eti nitaonekana na wanaume wengi.. companion between two ndiyo jambo la msingiMkemwenza nifundishe kutambua ninapopendwa
kujua kama unapendwa au upendwi lazima uingie kwenye mahusiano at list ujarbu halafu utoke sema wengi mnaogopa eti nitaonekana na wanaume wengi.. companion between two ndiyo jambo la msingi
wanakuta wanaangalia external factor wanadharau moyo... ha ha ha mimi napenda napo pendwa na pesa ikiwa nyuma nyuma
mtu anapenda sehemu haina hata pesa uwiiiiiYeah unapopendwa ila angalau nawewe moyo uwe umeridhia jamani, pesa muhimu atii tutakula mapenzi?
mtu anapenda sehemu haina hata pesa uwiiiii