Wadada acheni hizi tabia

Wadada acheni hizi tabia

mchambuzixx

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
1,292
Reaction score
946
Jamani kuna wadada wana tabia za ajabu sijawai ona kwanza hana huruma na boyfriand wake siku ukimwambia unamtoa out atakuja na wenzake kama wawili au mmoja saa zingine wa 3 ,mwengine anaweza kuwahi sehemu mliyopanga kukutana akiwa na mwenzake kabla hujafika wataagiza soda.

Ukifika tu Savanna zinaanza mwingine mmekutana tu hajui hata mfuko ulivyo akija waiter ni mwendo wa Savanna na kama kuna Pizza hapo ulipo itaagizwa tu halafu wanachagua watu utakuta mko sehemu labda ya starehe kwako anakomaa na Savanna akiwa hapo hapo utakuta huyo kaja na Castle Lite.

Yaani siku hizi na mimi hata kama uwezo upo nitakaa sehemu ambayo najuana na mhudumu yaani yule mhudumu namwambia kabisa hapa wakija hawa wageni sema kuna Local beer tuu hakuna Saint Anna, wala Savanna, hao hao wakiona hivyo vitu hakuna watakunywa kilichopo.

Yani ni siku hizi ni full vurugu
 
aiseee sawa tu... kwa hiyo mwendo wa KILIMANJARO.... CASTLE LAGER.... SERENGETI..... CASTLE LIGHT ... sawa baba hata maji pouwa tu
 
Mimi akiniletea rafiki zake I'll make sure nachukua no zao kisha nagegeda wote..kwisha kazi
 
mchambuzixx

Kijana sioni tatizo la demu kuja na wenzie kwenye appointment.... Ila cha muhimu ni wewe mwenyewe kuwa na msimamo wako madhubuti...

Ambapo pindi kabla mpenzio hajaagiza kinywaji unamwambia wazi hali yako ya mfukoni...

Au unaweza kutoongea lolote ukasubiria mwisho wa kulipa bill ukalipa ya kwako na demu wako...

Ila yakupasa kuelewa kama ni demu aliyeomba appointment kwako yeye ndiyo inabidi alipie kila kitu kama ni wewe kazi ni kwako....
 
Last edited by a moderator:
Kama hamuyawezi mnayatakia nini jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiii,si chukua anaekunywa TOGWA mbona wapo tele,wa Savanna na St Anna muachie The Boss...
 
hahahahahahaaa sasa dogo unataka watoto wazuri wanywe castle lager au safari?watoto wazuri wanatakiwa kunywa international brand kama savanah,heinken,saint annah kwa mbali windhoek. kama unataka watoto wa kunywa safari au viroba basi tegemea wanawake low quality kama wa kimboka au manzese.
 
Mkuu Savvana moja elfu tatu au nne,,hatamudu kkunywa savanna ishirini???,,,kazidi Sana labda sita,,,LABDA WEWE MFUKO WAKO UWE HAURUHUSU NDO maana UNASEMA HAYO MKUU,,,
mi huwa napenda wanawake dizaini iyo,,

kwanza mwanamke akinywa pombe Ni rahis mno kumgonga ht cku iyo iyo,,,na pili end of ze day unamgonga Na rafiki yake pia ukiwa mjanja.. ...
 
Mi huwa wananipa mtandao ndio mana hata akitaka carton kumi za savana ni yeye na kichwa chake tu..nikitoka pale naenda kujaza vocha tigo..
 
Mi huwa wananipa mtandao ndio mana hata akitaka carton kumi za savana ni yeye na kichwa chake tu..nikitoka pale naenda kujaza vocha tigo..

Hahaha!!! Una hatari sana wewe
 
Yani wanaita buzz la kuchuna pakaaa kwelii unichune ivyoo kizembeee aaah;;!
 
Kama uko Dar lazima unaishi Manzese, Mbagala matiti, Sinza kwa mtogole mtogole huko au mwananyamala Kwa kopakopa n.k. Guess kwa nini nimejua.
 
Mkuu Savvana moja elfu tatu au nne,,hatamudu kkunywa savanna ishirini???,,,kazidi Sana labda sita,,,LABDA WEWE MFUKO WAKO UWE HAURUHUSU NDO maana UNASEMA HAYO MKUU,,,
mi huwa napenda wanawake dizaini iyo,,

kwanza mwanamke akinywa pombe Ni rahis mno kumgonga ht cku iyo iyo,,,na pili end of ze day unamgonga Na rafiki yake pia ukiwa mjanja.. ...
Duuuu!!!! Dalili za nyakati za mwisho ndizo hizi.
 
kuna wadada wanaboa aisee...kuna mmoja tulipangaga tukutane guest..niko room nimetulia naona huyo anaingia na mabest zake wanne..nilichoka..ikabidi nisepe tu nikawaachia room
 
kuna wadada wanaboa aisee...kuna mmoja tulipangaga tukutane guest..niko room nimetulia naona huyo anaingia na mabest zake wanne..nilichoka..ikabidi nisepe tu nikawaachia room

Dahh. Kwi kwi kwi, ebana umenifanya nicheke kwa sauti kubwa mbele ya watu apa. Sasa ww kwa nn umeondoka. Si ungemalizana nao tu.
 
kuna wadada wanaboa aisee...kuna mmoja tulipangaga tukutane guest..niko room nimetulia naona huyo anaingia na mabest zake wanne..nilichoka..ikabidi nisepe tu nikawaachia room

Walikua wanataka five-some. Kwi kwi kwi..
 
Dahh. Kwi kwi kwi, ebana umenifanya nicheke kwa sauti kubwa mbele ya watu apa. Sasa ww kwa nn umeondoka. Si ungemalizana nao tu.
mkuu nilivyowasoma fasta walikuwa hawajaja kikazi..mana walikuwa wanachapa umbea tu..nikaona soon wataintroduce kipengele cha msosi..nikaona isiwe tabu ngoja nisepe
 
Back
Top Bottom