92mtl
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 461
- 308
kama kichwa cha habari kinavo sema napata wakati mgumu niki soma walaka wa kwanza wa 1wakolinto 14:34-35
Nawasilisha ili tujadili kwa pamoja heading iskupe shida tufafanuliane tupanuane kiupeo
34: Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
35: Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
36: Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
37: Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
Nawasilisha ili tujadili kwa pamoja heading iskupe shida tufafanuliane tupanuane kiupeo