Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,750
- 5,643
Sasa mkuu kwani wewe hutaki kuokoka?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani umekwenda kusali, ila wanang'ang'ania uwe mshirika wa kudumu, sio kama RC ambao unasali kanisa lolote na unakuwa huru, hakuna wa kukuuliza.
Ila kwa makanisa haya mengi ya pentecoste hii ni changamoto, mbaya zaidi ukienda kusali na kujulikana ni mgeni utaulizwa kama umeokoka au la! Kama bado wengi huwa wanakulazimisha uokoke.
Yaani hawaelewi ukiwaambia mimi bado bado, wanakera mno! Watu wengine hawajazoea kusali kanisa moja, sasa mnawakatisha tamaa watu wa aina hii, mnakuwa ga na vimaswali vya kipuuzi mno sometimes.
Washamchungulia huyoNakumbuka maza angu mkubwa alipewa uzee wa kanisa. Watakuwa walikuwa wanamvuna haswa na ukaribu aliokuwa nao na yule mchungaji sina shaka alikuwaga anamgonga kabisa.
Maana mchungaji alikuwa kitu special sana yani. Nshapeleka sana bahasha kwake.
Kikolo utikwiputa? Hakuna mnyakyusa mpagani aiseeKumbe kuna watu bado mnasali mpka miaka hii ? [emoji849][emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaMwanamke ni kiumbe rahisi kupigika sound. Ukilegea mchungaj atamtmba kabisa ili amshikilie vyema zaidi.
Wanawake wajinga sana hawa wanaojiita wapendwa katika bwana. Anaweza liwa kimasihara tu.Mwanamke ni kiumbe rahisi kupigika sound. Ukilegea mchungaj atamtmba kabisa ili amshikilie vyema zaidi.
Mwanamke akishaingia kwa hao manabii sahau heshima kwako tena yaani ataamini kila anachoambiwa na nabii na humwambii kitu akakuelewa ndy maana ni rahisi sana kutiwaWasanii sana hao watu wakimteka kiakili mwanamke wako kazi unayo wana kauli mbiu ya kuwamaliza wanawake kuwa mume na mungu bora nini wakati mungu aliyesema ndoa na ziheshimiwe.
Hahahaha akiliwa na mchungaji anajihisi njia ya peponi ni yake😅Wanawake wajinga sana hawa wanaojiita wapendwa katika bwana. Anaweza liwa kimasihara tu.
Achilia hio kuna kubaki baada ya ibada ile. Siku nyingine anarudi saa 10 jioni na kanisa lilikuwa Lutheran church. Ati wanabaki wanahesabu mavuno sijui😂😂😂 aisee.Washamchungulia huyo
Kanisani wanakaaga mbele kabisa wanawekwa
Ova
Hao watu ni wachawi mkuu.Tena wakiona umekuja na usafiri wako ndio shida... Maana watakuganda na kwako waje .. ..
Kuna dada namfahamu ...yalimkuta na matokeo amefilisika na ndoa kuvunjika .. utadhani kuna kitu walimpa akawa Kama hajielewi ... Pesa zote anapeleka kanisani!
Mchungaji anashinda nyumbani kwake na mume anaishi mbali kikazi!
Kafikia kuuza mpaka Mali za familia!
Matusi hapana tafadhali!Kuna mtu kakuita humu..sijui wajinga kama wewe hua mnashida gani.
#MaendeleoHayanaChama
DaaaahMwanamke ni kiumbe rahisi kupigika sound. Ukilegea mchungaj atamtmba kabisa ili amshikilie vyema zaidi.
Eti eehUkweli huwa unachelewa tu lakini lazima ufike sehem yake
Ni wapuuzi mno baadhi ya watu hawa! Mimi niliwahi kuwachana, nikawaambia sitaki kuokoka kwa sasa. Hawakuamini *****Wakigundua wewe ni mtu fulani,una kawadhifa fulani lazima kanisani utapewa nafasi
Wakukamue hela vizuri
Ova
Sio sitaki, ila wao wanafanya ni lazima. Hawataki kusikia ukisema haupo tayari kwa muda huoSasa mkuu kwani wewe hutaki kuokoka?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaaah! Ningekuwa mimi ningekuwa wa mfano, ningekuwa najikalia zangu nyuma au kati kati tu!Washamchungulia huyo
Kanisani wanakaaga mbele kabisa wanawekwa
Ova
Usiniambie kijana, anahubiri huku katoka kuliwa? OMG!Wanawake wajinga sana hawa wanaojiita wapendwa katika bwana. Anaweza liwa kimasihara tu.