Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,855
- 31,166
Ninasema hivi kwa sababu duniani kote hamna tatizo kubwa la kiuchumia kama kama la kukosa Ajira ( unemployment),ukiangalia trend ya nchi yetu utagundua hili.
1.Hadi sasa kwa Tanzania Serikali ndio mwajiri mkubwa hii inatokana na kukosa viwanda vingi vya kuajiri na ndio maana Mr.Kikwete aliliona hilia akaanzisha Wizara na Gvt departments nyingi ili kuongeza Ajira.Kumbukeni hadi sasa kuna wizara karibu 4 zimeungana Mfano mdogo Wizara ya Afrika Mashariki na Wiazara ya Mambo ya Nje,itabidi hawa wafanyakazi wa wizara ya afrika mashariki watafutiwe ofisi nyingine za serikali wapelekwe hivyo ivyo kwa wizara zingine.
bado kuna mpango wa kupunguza idara na vitengo kwenye halmashauri zote ziwe 8 badala ya 16 na tunajua fika watu wengi huajiliwa ktk halmashauri hizi.
2.kwa takwimu inaonyesha zaidi ya wanafunzi wa vyuo 100,000 na zaidi
humaliza kila mwaka Je hawa wanafunzi watakwenda wapi??????
huku hata yule aliyopo kwenye ajira yake hana uhakika na ajira yake
Tatizo kubwa la viongozi wa nchi yetu tupo kimkakati wa kupata kula za miaka 5 ijayo na si Tanzania ya miaka 50 ijayo ndio maana tunataka matokeo ya miaka 5 hatuangalii madhara ya miaka 5 ijayo baada ya hayo mafanikio ya miaka 5.
1.Hadi sasa kwa Tanzania Serikali ndio mwajiri mkubwa hii inatokana na kukosa viwanda vingi vya kuajiri na ndio maana Mr.Kikwete aliliona hilia akaanzisha Wizara na Gvt departments nyingi ili kuongeza Ajira.Kumbukeni hadi sasa kuna wizara karibu 4 zimeungana Mfano mdogo Wizara ya Afrika Mashariki na Wiazara ya Mambo ya Nje,itabidi hawa wafanyakazi wa wizara ya afrika mashariki watafutiwe ofisi nyingine za serikali wapelekwe hivyo ivyo kwa wizara zingine.
bado kuna mpango wa kupunguza idara na vitengo kwenye halmashauri zote ziwe 8 badala ya 16 na tunajua fika watu wengi huajiliwa ktk halmashauri hizi.
2.kwa takwimu inaonyesha zaidi ya wanafunzi wa vyuo 100,000 na zaidi
humaliza kila mwaka Je hawa wanafunzi watakwenda wapi??????
huku hata yule aliyopo kwenye ajira yake hana uhakika na ajira yake
Tatizo kubwa la viongozi wa nchi yetu tupo kimkakati wa kupata kula za miaka 5 ijayo na si Tanzania ya miaka 50 ijayo ndio maana tunataka matokeo ya miaka 5 hatuangalii madhara ya miaka 5 ijayo baada ya hayo mafanikio ya miaka 5.