Wee ni mnoma. Huu utabiri wa pili konki nasoma kwakowarning
Napita tuuuu
mue makini na Chelsea tfay
drw njemjee
Ndio mda wa kurudisha pesa zao za usailiii ysiwaamini kabisa bgteam mechiza mwanzoooo...Wee ni mnoma. Huu utabiri wa pili konki nasoma kwako
Ntakuwa napita pita ukipost, manake hizi mambo unatumia logic kubwa na upeo mkubwa kupredictNdio mda wa kurudisha pesa zao za usailiii ysiwaamini kabisa bgteam mechiza mwanzoooo...
Kuna mmoja namwambia weka under 2.5 hii mechi alikuwa ale 700000....kaweka ov 1.5
Nyoooooo
Huyo ni fundi mno kwenye kamariNtakuwa napita pita ukipost, manake hizi mambo unatumia logic kubwa na upeo mkubwa kupredict