KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Hivi hawa wachuuzi wakichina waliojazana mtaa wakongo wakiuza yeboyebo wameingiaje nchini??kwa status hipi??watalii?,wanadiplomasia?,wawekezaji?maexpert??je wamekuja kuwaonyesha machinga jinsi kufanya uchingachina??imagration wapo kikazi au wamepiga mihuri kwenye pass zao zikionyesha wamekuja kutembelea nchi kwa wiki watarudi kwao je kama nihivyo walishawafatilia??je wao hawawajibiki kujua mgeni anayeingia nchini amefata nini na anafanya nini??au wakisha mgongea wanasubiri wakati wakutoka basi??nchii hii kuna uzembe mkubwa wawatendaji!