kama Inafikia Hatua hata viongozi wa jeshi hawaruhusiwi kufika kwenye baadhi ya miundombinu inayojengwa mpaka ujenzi ukamilike tutawaaminije watu hawa? tunauhakika gani kuwa hawawez kuweka mabom na mitego mingine kwa manufaa yao ya baadae? kuhusu swala la mafuta hilo ukubali usikubali watanzania tunaliwa.