Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,133
- 2,128
kinana nnape na mwiguluWanaoruhusiwa kuingia ni kina nani........?
mikataba ya fadhilaMikata 19 ya siri alisaini mkuu wako,,,sasa unataka ujue kinachoendelea?
Mkuu mbona Taifa letu alijawahi kuvumbua mafuta, tuna gesi kama sikosei!! Sasa hao wachina walianza lini kuchimba na kuhiba mafuta, kitu kingine kuna tofauti kubwa kati ya meli za kubebea mafuta/gesi na meli za kubeba mizigo ya kawaida mfano mabomba ya kusafirishia gesi kuja Dar na mitambo ya kuhunganisha mabomba na vifaa vya ujenzi wa nyumba za kuweka pump za kusukumia gesi. Mkuu si rahisi Wachina kuiba chochote bila ya kujulikana especially MAFUTA na GESI.
"Mkuu mbona Taifa letu alijawahi kuvumbua mafuta, tuna gesi kama sikosei!!" .
Mkuu mimi sikutaka kuingia kiundani kuhusu masuala haya - kwa kifupi ni kwamba hakuna binadamu anaweza kuchimba/ kusafirisha CRUDE OIL bila ya kujulikana. Kwanza rigs za kuchimbia mafuta/Gesi zinajengwa hadi kufikia urefu wa ghorofa nane hadi kumi, rigs hizo azina kivicho zinanekana hata ukiwa umbali wa maili thelathini na ushee - sasa mkuu hapo wizi unawezaje kufanyika bila ya kushtukiwa. Kitu kingine hivi mkuu unategemea jeshi linaweza kweli kuweka miundo mbinu yake adhalani??nakushauri uongeze upeo wa kufikiri, tangu lini mwizi akaja openly? kama ni wanakuja kwa wema ni kwa nini hawaruhusu ukaguzi wa meli zao? mitambo inayoletwa ni kwa nini iletwe kwa uficho? kwa taarifa yako wachina wana agenda ya siri na tanzania na mikataba wanayopewa itatutokea puani. wamesaini mikataba ya kurekebisha na kujenga miundombinu za kijeshi, cha ajabu wakati wa ujenzi wa sehem muhim za miundombinu hakuna mtanzania anayeruhusiwa kuwepo wala kukagua kinachoendelea. je? tutapona kwa stairi hii kweli.
Mkuu mimi sikutaka kuingia kiundani kuhusu masuala haya - kwa kifupi ni kwamba hakuna binadamu anaweza kuchimba/ kusafirisha CRUDE OIL bila ya kujulikana. Kwanza rigs za kuchimbia mafuta/Gesi zinajengwa hadi kufikia urefu wa ghorofa nane hadi kumi, rigs hizo azina kivicho zinanekana hata ukiwa umbali wa maili thelathini na ushee - sasa mkuu hapo wizi unawezaje kufanyika bila ya kushtukiwa. Kitu kingine hivi mkuu unategemea jeshi linaweza kweli kuweka miundo mbinu yake adhalani??
Kuna meli kubwa sana za wachina zinakuja Mtwara na zinashusha mitambo yenye mashaka miongoni mwa watanzania. mbali na mitambo hiyo, kunatetesi kuwa meli hizo zinaiba mafuta eneo la mtwara. ndani ya meli hizo hakuna mtanzania/mwafrika anayeruhusiwa kuingia ndani (hata maofisa usalama). ni wachina pekee na wenye vibari ndio wanaoingia kwenye meli hizo. watanzania tuwe makini na ujio wa watu hawa kwani kuuza mapambo ni geresha ya kutulaghai. nyuma ya hilo (mapambo) kuna mambo makubwa yanaendelea.