Wachina nao ni wabaguzi?

Wachina nao ni wabaguzi?

Tusikubali kuwa wanyonge na sisi tuwe wabaguzi
Wakati wanajenga reli, majengo makubwa makubwa na mabarabara wanawakata wasichana wetu vilivyo na kuwabutua wanaume wanaofanya kazi kwenye miradi waliyokabidhiwa utaanzia wapi kuwabagua.

Pita zilipo camp za waturuki kwenye SGR uone mambo wanaume ni mbwa tu
 
hata Tz ubaguzi upo, mweusi kwa mweusi, Beer alimtwanga risasi Lissu, na ni mweusi mwenzake

viroba vya maiti kuokotwa fukweni kila kukicha, walio ndani ni weusi, wauaji ni weusi pia
Huo si ubaguzi mkuu hata mafia wanauana wao kwa wao
 
Wakati wanajenga reli, majengo makubwa makubwa na mabarabara wanawakata wasichana wetu vilivyo na kuwabutua wanaume wanaofanya kazi kwenye miradi waliyokabidhiwa utaanzia wapi kuwabagua.

Pita zilipo camp za waturuki kwenye SGR uone mambo wanaume ni mbwa tu
Kuna nini? Wanawafirimash vijana wa kibongo au?
 
Sasa kama Mafrika anambagua mweusi mwenzake unadhani wengine hawatatubagua?

Hivi unajua Mtanzania atampendelea mzungu kwa asilimia 80% kuliko kukupendelea wewe?
Kama ana pesa, its obvious
 
Watu weusi tuna mambo ya ajabu sana, Badala kukaa tukawaza maendeleo na vipi tutajikwamua kwenye shida ndio kwanza tuko buzy na kujadili kuwa tunabaguliwa
 
Ukiona jamii yoyote kwenye suala la mahusiano na ndoa ni wao kwa wao na hawagusi kabisa jamii yenu ijapokuwa watazuga kushirikiana nanyi kwenye mambo mengine Ni wWABAGUZI wa kupindukia. Ubaguzi wa watu wa Asia ni tofauti kabisa na ubaguzi wa kizungu ambao kwao mahusiano na ndoa hakuna masharti mkipendana
 
Watu wenye asili ya Asia ni wabaguzi kupindukia na ndio maana mimi hata filamu zao siwezi tazama.
Dawa ya ubaguzi ni na wewe kuwabagua tu simple.

Ila suluhisho ya muda mrefu ni sisi waafrika kusimama kivyetu kwenye uchumi, elimu na technology. kiufupi tujitegemee kwa kila kitu then tutaanza kuwabagua vizuri.
Kwakuwa wote tutakuwa superior basi itakuwa ngumu kwa ubaguzi kuwepo.

lakini lazima sisi tawabague.
 
Ijumaa Kareem,

Moja kwa moja, Kumbe wasambazaji wa filamu za Hollywood hulazimika kubadili posters za movie zenye waigizaji weusi kwa kuwatoa au kuwaficha ili wasionekane kwa wapenzi wa filamu nchini China. Hii ni kwa sababu filamu zenye main characters weusi au characters weusi hufanya vibaya kimauzo China.

Mfano Black Panther movie inayohusu Shujaa wa Kiafrika iliojaa waigizaji weusi ilivuja rekodi mbalimbali kwa mauzo ya 1.344 billion USD (hata mimi nilienda cimema kuiona hii), huko China ilitengeneza 105,062,459 USD lakini mafanikio haya ni baada ya kufanyiwa promotion kubwa China iliohusisha kufichwa kwa sura main character kwenye posters katika matangazo yake mbalimbali.

Kwa kutumia kielelezo hiki nauliza, Je hivi ni kweli wachina ni wabaguzi kiasi hiki?View attachment 2155177View attachment 2155178View attachment 2155179View attachment 2155181View attachment 2155180View attachment 2155182
View attachment 2155187
Mtu mweusi anabaguliwa duniani kote hata katika nchi yake.
 
Si wachina,wahindi,waarabu,wazungu wote wabaguzi hivi hawajifunzi wakija Africa wanavyooneshwa upendo,,ila ipo siku Africa itakua juu tu na ndio kitu wanachoogopa hawa mbwa.
Hizi ndoto za alinacha .... Kakojoe ukalalw
 
Si wachina,wahindi,waarabu,wazungu wote wabaguzi hivi hawajifunzi wakija Africa wanavyooneshwa upendo,,ila ipo siku Africa itakua juu tu na ndio kitu wanachoogopa hawa mbwa.
Africa tuwe juu kwenye jambo gani?
Labda kwenye mambo ya kipuuzi kama uchawi etc.
 
Si wachina,wahindi,waarabu,wazungu wote wabaguzi hivi hawajifunzi wakija Africa wanavyooneshwa upendo,,ila ipo siku Africa itakua juu tu na ndio kitu wanachoogopa hawa mbwa.
Wazungu wapo wabaguzi ingawa siyo wengi na ndo maana kuna weusi we wamezaa na wazungu,wa,ila katika maisha yangu sijawahi ona tendo hilo,kwa muhindi,mwarabu,mchina,wazungu kwa mtu mmoja mmoja wako poa sana,ndo maana mbongo hata kazi kufanya atachagua kwa mzungu
 
Wachinandiyo zao, ni watu wa copy from the original...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom