Sekema
Member
- Nov 25, 2012
- 55
- 12
Hivi hawa jamaa wanamalengo gani na maisha ya watanzania? Siku ya x-mas mida ya saa tisa nilikuwa maeneo ya Quality Centre ndani ya duka moja linalouzwa vipodozi na marashi (perfums). nilipoingia nilimkuta mchina mmoja anajaribisha kwa kujipulizia karibia kila perfum aliyokuwa anaiona akafuta ''concetration'' yangu kwake kumuangalia yeye na kuacha kilichonipeleka pale, mbali na kujipulizia alikuwa anazipiga picha kuanzia chupa ya hiyo perfum box lake pamoja na maandishi yaliyoko kwenye hilo box la bidhaa husika. nikawauliza wale wahudumu kuhusu kinachoendelea juu ya yule mchina na bidhaa yake maswali yafuatayo;
1. Jamani huyo jamaa anashida ya kununua au analake? nikaambiwa 'kaka hata sisi tunashangaa maana tangia kaja ni masaa mawili na nusu yanakatika yupo tu hata hanunui.
2. Nikawauliza tena kuwa anachofanya si ni uharibifu? maana karibia kila perfum anaijaribisha ina maana hafaham ni perfum gani ainunue, na je mtanzania wa kawaida mnawewza kumruhusu afanye kitu kama hicho? Wakabaki kimya bila jibu.
3. Nikawauliza tena, tajiri (mmiliki), au msimamizi wa duka yupo? wakanijibu hayupo.
4. Nikawauliza mmnafaham malengo yake huyo bwana? wakaniambia wao wanajua kuwa ni mteja kama wateja wengine ila wanashangaa yupo pale mda mrefu na wala hanunui.
Mwisho nika hitimisha kwa kuwaambia kwamba... Hawa jamaa ndio wanaotutengenezea perfum feki then wanaharibu afya zetu pamoja na kuwaharibia soko la bidhaa zenu lkn pia wanaharibu soko la yule anayetengeneza perfum halisi 'original'.
Jamani hivi kuna LOLOTE SERIKALI YANGU TUKUFU INATAMBUA KUHUSU HAWA JAMAA NA BIDHAA ZAO WANAZO ZITENGENEZA KATIKA VIWANGO DUNI NA HATARISHI KWA MAISHA YA WATANZANI? NA NINANI ANAHUSIKA KTK HILO NA ANAFANYA NINI ILI KUZUIA JAPO KWA KIDOGO UWEPO WA HAO WATU WANAOZITENGENEZA BIDHAA HIZO? Tafadhari maoni na michango wana jamii!!
1. Jamani huyo jamaa anashida ya kununua au analake? nikaambiwa 'kaka hata sisi tunashangaa maana tangia kaja ni masaa mawili na nusu yanakatika yupo tu hata hanunui.
2. Nikawauliza tena kuwa anachofanya si ni uharibifu? maana karibia kila perfum anaijaribisha ina maana hafaham ni perfum gani ainunue, na je mtanzania wa kawaida mnawewza kumruhusu afanye kitu kama hicho? Wakabaki kimya bila jibu.
3. Nikawauliza tena, tajiri (mmiliki), au msimamizi wa duka yupo? wakanijibu hayupo.
4. Nikawauliza mmnafaham malengo yake huyo bwana? wakaniambia wao wanajua kuwa ni mteja kama wateja wengine ila wanashangaa yupo pale mda mrefu na wala hanunui.
Mwisho nika hitimisha kwa kuwaambia kwamba... Hawa jamaa ndio wanaotutengenezea perfum feki then wanaharibu afya zetu pamoja na kuwaharibia soko la bidhaa zenu lkn pia wanaharibu soko la yule anayetengeneza perfum halisi 'original'.
Jamani hivi kuna LOLOTE SERIKALI YANGU TUKUFU INATAMBUA KUHUSU HAWA JAMAA NA BIDHAA ZAO WANAZO ZITENGENEZA KATIKA VIWANGO DUNI NA HATARISHI KWA MAISHA YA WATANZANI? NA NINANI ANAHUSIKA KTK HILO NA ANAFANYA NINI ILI KUZUIA JAPO KWA KIDOGO UWEPO WA HAO WATU WANAOZITENGENEZA BIDHAA HIZO? Tafadhari maoni na michango wana jamii!!