Binafsi nafikiri kuna changamoto watu hawajaziangalia vizuri kabla ya kufikiri kuwa wachina ni tatizo nalo ni ukosefu wa Elimu, Elimu, Elimu ya Biashara
1. Wafanyabiashara wa Tanzania walio wengi hawana Elimu ya biashara
2. wafanya biashara walio wengi ni wabinafsi
3. baadhi ya wafanya biashara wanakwepa kodi
Nifafanue kidogo
1. Kwa kuwa wafanya biashara wetu walio wengi hawana Elimu ya Biashara, ananunua meza china shs 35,000 anakuja hapa anauza 120,000 (Wizi mtupu)
Mchina akinunua meza hiyo hiyo china kwa shs 35,000 akipiga gharana za manunuzi, + usafirishaji + kodi ya serikali+ gharama za uendeshaji akaweka na faida yake 20% bei ikawa 95,000; mnasema anakiwanda china; sijui anamtaji nk nk lakini ninavyo ona tatizo ni Elimu, Elimu, Elimu ....na tamaa ya wabongo ya kuwanyonya watanganyika ili mzidi kutajirika....
Yaani mtu anunue kiatu china shs 22,000 akija hapa anakuambia tu shs75,000 bila aibu; eti maongezi yapo??? hata ukimuambia amepataje hiyo bei hajui?
Wafanyabiashara hawawataki wachina kwa sababu ya tamaa ya kutaka kuuza ghali na kujitajirisha bila kujua wanawanyonya WATANGANYIKA...
UKWELI NI KUWA, KODI YA SERIKALI KWENYE LILE SOKO INAWEZA KUONGEZEKA MARAMBILI + KAMATUTAWARUHUSU WACHINA WAFANYE BIASHARA KWA UHURU KWANI TUTAWAVUTIA WAFANYA BIASHARA WENGI WA NCHI JIRANI....
1. Wafanyabiashara wa Tanzania walio wengi hawana Elimu ya biashara
2. wafanya biashara walio wengi ni wabinafsi
3. baadhi ya wafanya biashara wanakwepa kodi
Nifafanue kidogo
1. Kwa kuwa wafanya biashara wetu walio wengi hawana Elimu ya Biashara, ananunua meza china shs 35,000 anakuja hapa anauza 120,000 (Wizi mtupu)
Mchina akinunua meza hiyo hiyo china kwa shs 35,000 akipiga gharana za manunuzi, + usafirishaji + kodi ya serikali+ gharama za uendeshaji akaweka na faida yake 20% bei ikawa 95,000; mnasema anakiwanda china; sijui anamtaji nk nk lakini ninavyo ona tatizo ni Elimu, Elimu, Elimu ....na tamaa ya wabongo ya kuwanyonya watanganyika ili mzidi kutajirika....
Yaani mtu anunue kiatu china shs 22,000 akija hapa anakuambia tu shs75,000 bila aibu; eti maongezi yapo??? hata ukimuambia amepataje hiyo bei hajui?
Wafanyabiashara hawawataki wachina kwa sababu ya tamaa ya kutaka kuuza ghali na kujitajirisha bila kujua wanawanyonya WATANGANYIKA...
UKWELI NI KUWA, KODI YA SERIKALI KWENYE LILE SOKO INAWEZA KUONGEZEKA MARAMBILI + KAMATUTAWARUHUSU WACHINA WAFANYE BIASHARA KWA UHURU KWANI TUTAWAVUTIA WAFANYA BIASHARA WENGI WA NCHI JIRANI....