Sorry to say this hakunifurahisha na hili jibu hata kidogo kanikwaza sana watu wanaiba mnajua unakuja kutangaza akawasimamishe uongozi ulioidentify what are they doing and even though hao wakidakwa ina maana the rest watapata umeme ama?Hepl me plz.Waziri wa nishati na Madini prof Muhongo amesema wachimbaji tisa wa Tanzanite kati ya kumi wanaiba umeme.
Alikuwa akijibu sehemu ya swali la nyongeza kwa mbuge wa viti maalumu arusha juu ya mgao wa umeme Atown.