mtungu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2021
- 247
- 400
Simba inaitaji beki mwengine wa kati atakae saidiana na onyango na inonga kiunga mkabaji mwengine na mshamuliaji mwengine wa kati je ataachwa Nani Kati ya hawa Mugalu, Kagere, Kanoute, Lwanga Kati ya hawa mmoja atabaki lazima tu na husi Kati ya mugalu na kanute mmoja ndo atabaki