Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Wachezaji wa Yanga wanatakiwa wahakikishe mikataba yao kama ina mapungufu au la. Timu imevamiwa na matapeli na wahuni wazee wa wape salamu.
Wamekuwa matapeli kabisa ,tshishimbi walisema amesaini mkataba kumbe uwongo tu,morison hivo hivo,haya majamaa ni matapeli na sasa hivi walivyo hawana hela na wanasajili wengi ndo mwanya wa kufanya utapeli wao.
Jana kabla pale jangwani wamejazana Nungaz akiwaimbisha "wape salamuuuu morison ni mchezaji wetu ".
Hawa majamaa utapeli wao wa nguvu kama majambazi ,wanajua mkataba feki ila wamekomaa hadi mwisho.
Wanatuhumiwa pia kuandika barua kujifanya Sure Boy ,yaani wao kila sehemu tuhuma za wizi na utapeli
Bumbuli leo kaja na kipya eti hii ikiisha tunakuja na lingine bado tunakomaa na Simba ,hata wasemaji hawajui GSM anaendeshaje wanapiga tu domo.
Hii timu ya kihuni sana TFF na wachezaji pitieni mikataba yenu upya mnaongozwa na matapeli
Wamekuwa matapeli kabisa ,tshishimbi walisema amesaini mkataba kumbe uwongo tu,morison hivo hivo,haya majamaa ni matapeli na sasa hivi walivyo hawana hela na wanasajili wengi ndo mwanya wa kufanya utapeli wao.
Jana kabla pale jangwani wamejazana Nungaz akiwaimbisha "wape salamuuuu morison ni mchezaji wetu ".
Hawa majamaa utapeli wao wa nguvu kama majambazi ,wanajua mkataba feki ila wamekomaa hadi mwisho.
Wanatuhumiwa pia kuandika barua kujifanya Sure Boy ,yaani wao kila sehemu tuhuma za wizi na utapeli
Bumbuli leo kaja na kipya eti hii ikiisha tunakuja na lingine bado tunakomaa na Simba ,hata wasemaji hawajui GSM anaendeshaje wanapiga tu domo.
Hii timu ya kihuni sana TFF na wachezaji pitieni mikataba yenu upya mnaongozwa na matapeli