Wachezaji wa Taifa Stars kupewa Viwanja, Golikipa kuvuta Toyota Crown Asiporuhusu goli

Wachezaji wa Taifa Stars kupewa Viwanja, Golikipa kuvuta Toyota Crown Asiporuhusu goli

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila ametangaza zawadi na motisha zitakazotolewa na uongozi wa mkoa kwa kishirikiana na wadau mbalimbali ili kuchochea ushindi katika mchezo huo.

Zawadi hizo ni pamoja na kitita cha shilingi za kitanzania milioni ishirini zitakazotolewa kabla ya mchezo huo, zawadi ya shilingi milioni tano kwa kila goli, shilingi milioni moja kwa kila mfungaji wa goli huku atakayetoa pasi ya mwisho kuelekea goli (assist) atazawadiwa shilingi laki tano.

Kwa upande wa mlinda mlango (Goalkeeper) katika mchezo huo atazawadiwa gari aina ya toyota crown endapo mchezo huo utamalizika bila kufungwa goli lolote.


 
Kwahiyo mabeki wa kati na kiungo mkabaji hawana lao,,,ahadi zingeishia kwenye ushindi uwe wa timu na goli Liwe la timu ,kuanza kugawa wachezaji ndio kujitafutia kupoteza mchezo.
 
Morocco tupo pamoja kama maji na samaki, nichabangie hao watoto wa tiziii goli kama saba hivi mkeka wangu upone
 
Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila ametangaza zawadi na motisha zitakazotolewa na uongozi wa mkoa kwa kishirikiana na wadau mbalimbali ili kuchochea ushindi katika mchezo huo.

Zawadi hizo ni pamoja na kitita cha shilingi za kitanzania milioni ishirini zitakazotolewa kabla ya mchezo huo, zawadi ya shilingi milioni tano kwa kila goli, shilingi milioni moja kwa kila mfungaji wa goli huku atakayetoa pasi ya mwisho kuelekea goli (assist) atazawadiwa shilingi laki tano.

Kwa upande wa mlinda mlango (Goalkeeper) katika mchezo huo atazawadiwa gari aina ya toyota crown endapo mchezo huo utamalizika bila kufungwa goli lolote.
Ah hivi huyu anajua mpira kwell kupatagoli au kuruhusu goli ni probability jmn
 
Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila ametangaza zawadi na motisha zitakazotolewa na uongozi wa mkoa kwa kishirikiana na wadau mbalimbali ili kuchochea ushindi katika mchezo huo.

Zawadi hizo ni pamoja na kitita cha shilingi za kitanzania milioni ishirini zitakazotolewa kabla ya mchezo huo, zawadi ya shilingi milioni tano kwa kila goli, shilingi milioni moja kwa kila mfungaji wa goli huku atakayetoa pasi ya mwisho kuelekea goli (assist) atazawadiwa shilingi laki tano.

Kwa upande wa mlinda mlango (Goalkeeper) katika mchezo huo atazawadiwa gari aina ya toyota crown endapo mchezo huo utamalizika bila kufungwa goli lolote.

Siasa, Siasa, Siasa

Ndio zitatutoa mchezoni siku ya leo. Ma ahadi mengi focus ya mchezo inaondoka kina Kagoma watataka nao wafunge magoli. Toa ahadi mkishinda mtapata kiasi fulani TOSHA, Sasa mambo ya ma assist sijui goli ndio italeta tafrani hapo.
 
Unapomuahidi golikipa zawadi nono peke yake, wakati football ni mchezo wa kitimu (team sport) hii ina maana gani? ahadi kama hizi hutolewa kwa timu nzima au kwenye michezo ya mtu mmoja mmoja, (individual sport) maana, kwa ahadi hii anaweza kuhujumiwa hata na team mate❗
 
tushazoea kuhonga honga tu
mechi ichezwe bila ahadi ahadi, wachezaji soka ni kazi walioichagua kwa nini kuna kuwa na influence ya vitu vitu hizi ni rushwa kama nyingine
 
Back
Top Bottom