madudeyahatari
Senior Member
- Apr 11, 2017
- 137
- 39
Nawenyewe hawakumbuki, ndo Tanzania hii, kichwa cha mwendawazimu
Naomba nijifunze tusi jipya.Acha matusi ya kishamba we
Kwa kawaida match zinazo simamiwa na CAF watunza hizo taarifa wanawajulisha au kuwakumbusha timu husika kabla ya match inayofuata baada ya kadi ya tatu, Je wahusika hapa bongo walifanya hivyo kwa Kagera sugar?Namshangaa sana Shafii Dauda. Sasa hivi ni kiongozi wa soka na sio shabiki wa mpira. Badala ya kufanya ufuatiliaji makini wa taarifa kama hiyo yeye analeta ushabiki maandazi. Hebu jiulize Ripoti ya Kamisaa na Ripoti ya Refa zote zipo mikononi mwa wahusika tokea mechi ilipochezwa. Leo anaibuka mtu na viroja na sio hoja anataka watu waamini kile asemacho ili kutengeneza futbolifitna. Pole sana atafute wa kudanganya.
Haya hapa Matokea! Ila hayakuwa ya Mezani.Kama kuna mwenye matokeo ya YANGA HUKO algeria naomba mnijuze wakuu.....maana aibu yetu wote hii
Bashite weweEbu tupatie matusi ya kimjini
Mimi siyo ccmBashite wewe
Waamuzi wote wanasema akupewa,ila mwamuzi wa kati peke yake anasema aliimpa siyo bure huyu simba kwenye swala la tigopesa wako vizuri sanahuo ni uzembe tu kwani hakuna taarifa za waamuzi?waamuzi wapo watano kuanzia mwamuz wa kati,waamuzi wawili wasaidizi,kamisaa wa mchezo,na msimamizi wa kituo wote hawa wasilione hilo tukio? acheni ubabaishaji bhana huku ni kuzionea timu ndogondogo na kukatisha tamaa wachezaji km MTU kashinda kwann mbadilishe Matokeo? huko ni kufanya siasa za mpira sasa cha kagera na afrikan waliocheza wanasema hakuna kadi yoyote huu ni usanii tu unafanyika
Huu ni utetezi wakitoto sana,wanadai pointi zao walizozitolea jasho mbuzi weweHivi wanaodai hizo points ni kagera kweli au PEREGE FC?haiingii akilini...hao kagera wadai points wao wanataka UBINGWA?AU WANASHUKA DARAJA?yote KAMBARE FC hao....ndy maana mnakula 4 G sababu ya kufuatilia ya watu
simba ndo inaweka rekodi za wachezaji wa timu nyingine?Mechi ya Kagera Sugar na African Lyon ndiyo inayoleta utata kwa sababu ndiyo inayo mhukumu mchezaji huka kwamba ndiyo ilikuwa mechi ya tatu mfululizo anaoneshwa kadi ya njano.
Mechi hiyo hiyo ndio Kagera wanasema mchezaji hakuoneshwa kadi lakini wanakubali kuwa kabla ya mechi hiyo ni kweli alikuwa na kadi mbili za njano.
Mechi hiyo haikuoneshwa na Azam TV wala haikurekodiwa,Kwa upande wao Kagera Sugar wanasema kwenye rekodi zao hakuna hiyo kadi inayolalamikiwa na Simba.
Kwa utafiti uliofanywa na Shaffih Daudi kwa baadhi ya wachezaji wa African Lyon waliocheza mechi dhidi ya Kagera Sugar wanasema hawakuona tukio lolote alilofanya Mohamed Fakhi lililopelekea kuoneshwa kadi ya njano na hawakuona mwamuzi akimuonesha Fakhi kadi ya njano.
Ukiona mwanamke... Anakata viuno sana kwenye sherehe sio yake na hajaalikwa...ujuwe anamatatizo..sio bure...manataka ubingwa..kwa kununuwa kesi ya kagera.. Ili muendelee kututia aibu...4GHuu ni utetezi wakitoto sana,wanadai pointi zao walizozitolea jasho mbuzi wewe
Sentensi nyingine zote umeongea maneno kuntu sana, isipokuwa tu hilo la kusema Shaffih ni Yanga, hapo imechemka jombaa nadhani humjui vizuri Shaffih Dauda!Kwa hiyo wachezaji wa lyon ndio wanajua nani alipewa nani hakupewa nani asiyejua shafi kuwa shabiki wa yanga cha ajabu eti wanamuita mchezaji akiri kuwa alipewa au hakupewa sasa unadhani kwa akili yenu fakhi atasema nilipewa kadi? Malinzi na mwesigwa tunawajua haswaaa kuwa mashabiki kindaki kindaki wa yanga
Hivi.kwnn hamkomi tu?kila mwaka mkikutana na mwarabu mnakula 4 G...hvi mnaona raha gani kupasuliwa marinda na muarabu kila mwaka?nyie PEREGE FC. Au ndy tuseme mshakuwa SUGU?Nao hao marafiki zako waarabu tuliwapiga kimoko taifa, hatukutoka bure. Barca walipigwa 4 na PSG sembuse Yanga.
Wewe tumia ubongo badala ya masaburi