Wachezaji mahiri waliotamba katika Kariakoo derby

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
1,397
3,489
Kuelekea mechi ya Kariakoo Derby au Ilala Derby baina ya Simba na Yanga Jumamosi mengi huwa yanazungumzwa. Kuna wachezaji mastaa huwa wanang'aa na kujikuta wanatukuzwa na mashabiki wao. Pia kuna wachezaji hufanya vibaya katika mechi hiyo kiasi cha kulaumiwa kuwa wameuza mechi.

Hebu tukumbushane mastaa waliowahi kutamba katika mechi hii kubwa hapa Tanzania. Wachezaji waliokuwa wanapafomu vizuri na kuwafurahisha mashabiki wao katika mechi hii.

Karibuni mtiririke wakuu
 
1: Joseph Fungo/Hamisi Kinye
2: Yusuph Ismail Bana
3: Fredie Felix Minziro
4: Isiaka Hassan "Chukwu" /Ahamed Amasha
5: Athumani Juma Chama "Jogoo"
6: Juma Mkambi "General"
7: Rashid Hanzuruni
8: Charles Boniface Mkwassa
9: Makumbi Juma "Bongabonga"
10: Abeid Mziba "tekelo"
11: Celestine "Sikinde" Mbunga
 
1: Joseph Fungo/Hamisi Kinye
2: Yusuph Ismail Bana
3: Fredie Felix Minziro
4: Isiaka Hassan "Chukwu" /Ahamed Amasha
5: Athumani Juma Chama "Jogoo"
6: Juma Mkambi "General"
7: Rashid Hanzuruni
8: Charles Boniface Mkwassa
9: Makumbi Juma "Bongabonga"
10: Abeid Mziba "tekelo"
11: Celestine "Sikinde" Mbunga
Duhh we Yanga sana
 
Thuwen ally alimtungua Bernard madale mpira uko kati madale Analia kafuka uso akatunguliwa kingine
 
Thuwen ally alimtungua Bernard madale mpira uko kati madale Analia kafuka uso akatunguliwa kingine

Unajua kwa nini juma mkambi alipewa jina la Genarali?, nae alifunga goli kwa shuti la kutokea katikati ya kiwanja likimwacha Mambosasa anagalagla
 
Nteze john (rungu)
Hussein masha
George masatu
Yanga walilokota vibaya mpaka tambala ya nyavu
 
Kwa leo mkuu napita ila j2 baada ya mechi ya jumamosi kuisha nitawataja wengi tu.
 
Unajua kwa nini juma mkambi alipewa jina la Genarali?, nae alifunga goli kwa shuti la kutokea katikati ya kiwanja likimwacha Mambosasa anagalagla
Zuberi magoha kiumbe mzito ubabe wa kinye na chama uliisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom