HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Imekuwa bahati mbaya kwa Gadiel, Ajib na wachezaji wengine watano wa Simba ambao wamekwea pipa leo kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao itabidi weekend hii warejee tayari kwa maandalizi ya mechi ya CHAN dhidi ya Kenya Julai 28.
Hawataweza kurudi tena South kwani marudiano na Kenya tarehe 4 August, na Simba inarejea nchini August 5 tayari kwa Simba day tarehe 8.
Hawataweza kurudi tena South kwani marudiano na Kenya tarehe 4 August, na Simba inarejea nchini August 5 tayari kwa Simba day tarehe 8.