Wachezaji 10 wa kigeni uwanjani sio sawa

Kikubwa ‘Mentality’ mkuu. Hata mshahara haukuwepo hiyo zamani ila timu zilipambana kufanya vyema,umejiuliza kwanini sasa hivi tunatoka patupu?. Vijana wanataka pesa nyingi halafu kazi hawapigi ipasavyo.
Dawa sio kukusanya wababaishaji wengi kutoka rwanda, Burundi, Uganda na kuwapa hizo pesa wakajenge kwao huku viwango vya vya mpira ni kama vya vijana wetu Tu hapa. Kagere kalamba mapesa mengi lakini timu imelikosa kombe. Kwanini hiyo pesa wasingempa Chilunda?
 
Mzee Mwakyembe ingilia Kati ubabaishaji huu wa tff. Kama wana hela nyingi waazishe vitalu vya kukuzia vipaji sio kujaza mitumba kwenye ligi. Wageni 200 kwenye ligi ndogo kama yetu ni uhujumu wa ajira za vijana, uchumi na mpira wa Tanzania.

Simba wanataka kununua matokeo sio kucheza mpira. Timu yenye wachezaji 10 wa kigeni itashindana vipi na timu kama ndanda, stand, mwadui, jkt, njombe, majimaji. Kagera. Hakuna uwiano hata kidogo.
 
Mzee Mwakyembe ingilia Kati ubabaishaji huu wa tff. Kama wana hela nyingi waazishe vitalu vya kukuzia vipaji sio kujaza mitumba kwenye ligi. Wageni 200 kwenye ligi ndogo kama yetu ni uhujumu wa ajira za vijana, uchumi na mpira wa Tanzania.

Simba wanataka kununua matokeo sio kucheza mpira. Timu yenye wachezaji 10 wa kigeni itashindana vipi na timu kama ndanda, stand, mwadui, jkt, njombe, majimaji. Kagera. Hakuna uwiano hata kidogo.
Kwa miaka mingi wachezaji wa ndani wameshindwa kutoa matokeo mazuri kwenye mashindano ya Kimataifa, malengo ya mpira lazima yabadilike kwa kipindi fulani ili kuingiza falsafa mpya ya mpira wa miguu.
Ni lazima sasa kukaribisha ushindani, hapa tunajaribu kufungia milango ili akina Chirwa wengi waje kucheza hapa na sisi tuwatoe akina Chilunda wengi wakacheze nje.
Wenyewe kwa wenyewe tumekabana mda mrefu sana hadi tunajuana uwanjani. Kila beki anajua jinsi ya kumkaba John Bocco kwakua tumecheza naye kipindi kirefu na kuzoeana kwa kiasi kikubwa.
Imefika wakati wa kuondokana na mpira wa mazoea.
Sheria imeruhusu kusajiri wachezaji kumi wa kigeni na hailazimishi kufanya hivyo kwa timu husika.
Mtibwa Sugar inafanya vizuri katika medani ya soka na haina mchezaji hata mmoja wa kigeni (kama ninavyofahamu) na ni bingwa wa FA Cup na inatuwakilisha kimataifa.
Simba yenye wachezaji wengi wa kingeni tunaiona ikimaliza msimu na kombe moja tu la VPL, na ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kwenye mashindano ya FA ambayo haikuwa na hata mchezaji mmoja wa kigeni kwenye timu yao.
Kama falsafa ya wachezaji kumi wa kigeni itaonekana kuwa na madhara basi wadau wa michezo wanaweza wakaifanyia marekebisho ya kuifuta kabisa au kupunguza hiyo idadi.
Kwa sasa wacha tuende na haya mabadiliko tuone manufaa yake katika soka letu.
 
Naunga mkono nyongeza ili hawa madogo wa bongo wasiojituma watie akili. Kula benchi msimu mzima. Watu kama Ndemla,Mzamiru wanarukaruka tu uwanjani kwa nini kina Kahata wasipige pesa

Kipaji kidogo unalewa siiifa,wapi Ajibu, Mesi mk,wanafimba kichwa na kuvuta bangi badala ya kukaza. Ningekuwa TFF ningeweka 15,na 11 wanaweza kuingia uwanjani

Wanaweza kupiga misumari tu. Na nyie kina Kagere, Wawa muage kwenu huku kuna wazee wa miba muulizeni Serunkuma na Mavugo
 
Kwa miaka mingi wachezaji wa ndani wameshindwa kutoa matokeo mazuri kwenye mashindano ya Kimataifa, malengo ya mpira lazima yabadilike kwa kipindi fulani ili kuingiza falsafa mpya ya mpira wa miguu.
Ni lazima sasa kukaribisha ushindani, hapa tunajaribu kufungia milango ili akina Chirwa wengi waje kucheza hapa na sisi tuwatoe akina Chilunda wengi wakacheze nje.
Wenyewe kwa wenyewe tumekabana mda mrefu sana hadi tunajuana uwanjani. Kila beki anajua jinsi ya kumkaba John Bocco kwakua tumecheza naye kipindi kirefu na kuzoeana kwa kiasi kikubwa.
Imefika wakati wa kuondokana na mpira wa mazoea.
Sheria imeruhusu kusajiri wachezaji kumi wa kigeni na hailazimishi kufanya hivyo kwa timu husika.
Mtibwa Sugar inafanya vizuri katika medani ya soka na haina mchezaji hata mmoja wa kigeni (kama ninavyofahamu) na ni bingwa wa FA Cup na inatuwakilisha kimataifa.
Simba yenye wachezaji wengi wa kingeni tunaiona ikimaliza msimu na kombe moja tu la VPL, na ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kwenye mashindano ya FA ambayo haikuwa na hata mchezaji mmoja wa kigeni kwenye timu yao.
Kama falsafa ya wachezaji kumi wa kigeni itaonekana kuwa na madhara basi wadau wa michezo wanaweza wakaifanyia marekebisho ya kuifuta kabisa au kupunguza hiyo idadi.
Kwa sasa wacha tuende na haya mabadiliko tuone manufaa yake katika soka letu.
Unadhani watanzania wangapi watapata namba Nigeria, Ghana, Senegal, cameroon, Rwanda, Uganda, NK? Unachoongea hukijui. Rwanda imeruhusu wageni 3 Tu kwenye klabu
 
Simba ni malimbukeni Sana, hivi ukiwa na wachezaji 10 wa kigeni kwenye klab halafu wote wakaitwa kwenye timu zao za taifa klabu itabakiwa na nini? Na vipi kama mfadhiri akabwaga manyanya ghafla mishahara Yao itatoka wapi?

Ndio sababu wamelikosa Kagame Kwa unafiki
Kurwa na Dotto hawana tofauti .......Umesahau wakati wa Malinzi............wote ni wale wale...
 
We need changes ktk soccer la Tanzania so lazima tujaribu kila mbinu
Hiyo ni mbinu iliyoshindwa kabla haijatekelezwa, Wachezaji wa timu ya taifa wanatoka Azam, simba na Yanga. Timu zinazoweza kuleta wachezaji 10 wa kigeni ni Simba, Azam na Yanga ambazo ndio timu zinazoweza kuleta makocha wazuri wanaoweza kuwapa ujuzi wachezaji wetu WA timu ya taifa. Sasa makocha hao watakuwa wanafundisha wachezaji 10 wa kigeni ambao bila shaka ndio watakaokuwa wanapewa kubwa nafasi ya kukucheza kutokana na uprofetional wao.

Timu ya taifa itakuwa na hali gani.
 
Simba ni malimbukeni Sana, hivi ukiwa na wachezaji 10 wa kigeni kwenye klab halafu wote wakaitwa kwenye timu zao za taifa klabu itabakiwa na nini? Na vipi kama mfadhiri akabwaga manyanya ghafla mishahara Yao itatoka wapi?

Ndio sababu wamelikosa Kagame Kwa unafiki
Punguza povu braza... pambaneni na hali yenu...
 
kwahiyo hiyo kanuni ni kwaajili ya Simba tu kisa yuko mo mwenye hela ya kusajili? tff bwana kuna mambo, wanaibadilishia goal post timu moja.
TFF walishauriwa na Raisi wa FIFA alipoitembelea TZ, Mwaka huu 2018, kuongeza wachezaji wa kigeni ili kuleta ushindani wa soka la kulipwa.
Jambo hili halina msukumo wa timu fulani.
 
Hiyo ni mbinu iliyoshindwa kabla haijatekelezwa, Wachezaji wa timu ya taifa wanatoka Azam, simba na Yanga. Timu zinazoweza kuleta wachezaji 10 wa kigeni ni Simba, Azam na Yanga ambazo ndio timu zinazoweza kuleta makocha wazuri wanaoweza kuwapa ujuzi wachezaji wetu WA timu ya taifa. Sasa makocha hao watakuwa wanafundisha wachezaji 10 wa kigeni ambao bila shaka ndio watakaokuwa wanapewa kubwa nafasi ya kukucheza kutokana na uprofetional wao.

Timu ya taifa itakuwa na hali gani.
Ndo vizur Ili wasibweteke wakaze wapate Namba kwenye club zao then wapate kuitwa timu ya taifa Wakiw kwenye viwango vyao hata hivo s club zote zna uwezo wa kusajili wachezaj kumi wa kigen
 
TFF walishauriwa na Raisi wa FIFA alipoitembelea TZ, Mwaka huu 2018, kuongeza wachezaji wa kigeni ili kuleta ushindani wa soka la kulipwa.
Jambo hili halina msukumo wa timu fulani.
Ushauri ni ushauri Tu haui Sheria. Kesho wakitushauri wachezaji wasioe tutafuata?
 
TFF wamebeba ushauri wa Sammy Hyppia bila kwanza kuangalia mazingira ya soka letu. Kwa muda mfupi ujao tutapata taabu na soka letu lakini faida yake tutaiona baada ya miaka mingi sana ijayo tutashuhudia soka letu likipanda rejea kilichoikumba Uingereza miaka mingi iliyopita kabla ya siku za karibuni kuanza kufanya vizuri kwa timu zake za vijana na hata ya wakubwa kwenye world cup. Na hii inatokana na kanuni za mabadiliko yoyote duniani kuwa huwa na athari mwanzoni lakini faida huja baadae. Kwa kizazi cha baadaye kitakuja kukutana na haya mabadiliko bado wakiwa wadogo hivyo watapambana sana ili kwenda sambamba na wageni. Hiki kizazi cha sasa cha akina Ndemla, Makapu, Muzamiru, Pato Ngonyani n.k badala ya kupambana chenyewe kinaridhika kukaa benchi mpaka mtu aumie au huruma ya kocha imkute. Namwangalia kwa jicho la tatu mchezaji kama Gyan. Alikuwa benchi muda mrefu mpaka aliwekwa kwenye listi ya kuachwa kwenye usajili lakini alipopewa nafasi moja tu ya kucheza tena beki na sio nafasi yake ya ushambuliaji hakufanya makosa na kila mpenda soka anamjua sasa Gyan ni nani. Lakini tujiulize huyu Ndemla, Ajibu, Ramdhani Singano, n.k. kwa nini soka lao linapanda na kushuka kila siku kama homa na tunatatuaje hili tatizo? Jibu ni moja tu turuhusu ushindani lakini wenye mipaka. Turuhusu wasajiliwe wachezaji wa kigeni 10 lakini wanarohusiwa kuwa uwanjani wakati wa mechi wawe watano tu basi inatosha. Nina hakika watakuja wakina Chilunda, Zaidy, Rashid Juma, Maka Edward wengi tu wa kupamabana na akina Kagere. Mimi kama mpenda maendeleo ya soka namuomba waziri Mwakyembe aingilie kati hii kanuni ifanyiwe marekebisho kabla ligi haijaanza - sajilini kumi lakini watano tu wawe uwanjani kwa wakati mmoja hii ni kwa ajili ya kulinda wachezaji wetu na timu ya taifa kwa ujumla.
 
TFF wamebeba ushauri wa Sammy Hyppia bila kwanza kuangalia mazingira ya soka letu. Kwa muda mfupi ujao tutapata taabu na soka letu lakini faida yake tutaiona baada ya miaka mingi sana ijayo tutashuhudia soka letu likipanda rejea kilichoikumba Uingereza miaka mingi iliyopita kabla ya siku za karibuni kuanza kufanya vizuri kwa timu zake za vijana na hata ya wakubwa kwenye world cup. Na hii inatokana na kanuni za mabadiliko yoyote duniani kuwa huwa na athari mwanzoni lakini faida huja baadae. Kwa kizazi cha baadaye kitakuja kukutana na haya mabadiliko bado wakiwa wadogo hivyo watapambana sana ili kwenda sambamba na wageni. Hiki kizazi cha sasa cha akina Ndemla, Makapu, Muzamiru, Pato Ngonyani n.k badala ya kupambana chenyewe kinaridhika kukaa benchi mpaka mtu aumie au huruma ya kocha imkute. Namwangalia kwa jicho la tatu mchezaji kama Gyan. Alikuwa benchi muda mrefu mpaka aliwekwa kwenye listi ya kuachwa kwenye usajili lakini alipopewa nafasi moja tu ya kucheza tena beki na sio nafasi yake ya ushambuliaji hakufanya makosa na kila mpenda soka anamjua sasa Gyan ni nani. Lakini tujiulize huyu Ndemla, Ajibu, Ramdhani Singano, n.k. kwa nini soka lao linapanda na kushuka kila siku kama homa na tunatatuaje hili tatizo? Jibu ni moja tu turuhusu ushindani lakini wenye mipaka. Turuhusu wasajiliwe wachezaji wa kigeni 10 lakini wanarohusiwa kuwa uwanjani wakati wa mechi wawe watano tu basi inatosha. Nina hakika watakuja wakina Chilunda, Zaidy, Rashid Juma, Maka Edward wengi tu wa kupamabana na akina Kagere. Mimi kama mpenda maendeleo ya soka namuomba waziri Mwakyembe aingilie kati hii kanuni ifanyiwe marekebisho kabla ligi haijaanza - sajilini kumi lakini watano tu wawe uwanjani kwa wakati mmoja hii ni kwa ajili ya kulinda wachezaji wetu na timu ya taifa kwa ujumla.
Umesema vema lakini kwa vyovyote vile hii kanuni ni batili kwakuwa 98% ya vilabu vyetu bado havina vipato vya kuweza kusajili hata wachezaji 3 wa kigeni wenye hadhi ya kuchezea timu zao za taifa wanakotoka. Timu zetu nyingi bado zinafanyakazi ya kuibua na kukuza vipaji vinavyoishia kuchukuliwa na timu za Yanga, Simba na Azam tu, na sasa Siginda. Hivyo kama timu haziwezi kusajili wageni 3 bado kwanini 10 sasa? Hii ina maana tff inatunga sheria kwaajili ya timu 2 au 3 tu za ligi. Hii itasababisha ligi ichezwe upande mmoja tu wa klabu zenye nguvu ya fedha. Hii itasababisha ligi isiwe na mvuto maana watu wanayajuwa matokeo kabla ya mechi kuchezwa.

Uingereza timu zooote zina uwezo wa kusajili wachezaji wa kigeni kama wakihitajika, lakini tanzania sio hivyo.
 
Dawa sio kukusanya wababaishaji wengi kutoka rwanda, Burundi, Uganda na kuwapa hizo pesa wakajenge kwao huku viwango vya vya mpira ni kama vya vijana wetu Tu hapa. Kagere kalamba mapesa mengi lakini timu imelikosa kombe. Kwanini hiyo pesa wasingempa Chilunda?
kwa akili hizi soka la TANZANIA halitatoboa kamwe,kwahiyo ww unafikiri kuwa timu ya taifa itatoboa kwa wachezaji wa simba na yanga?kwahiyo unaona ni bora mchezaji aendelee kubaki ligi ya tz ilimradi anapata pesa kuliko kutoka nje?yaani imebaki kidogo useme kwanini Azam wasimpe hizo pesa SAMATTA kuliko kumpa NGOMA au kwanini SIMBA wasimpe pesa MSUVA kuliko kumpa NIYONZIMA au GYAN.....acha akili za kivuvula wachezaji wakitoka nje ya mipaka kwa wingi hakika TAIFA STARS itatoboa
 
Back
Top Bottom