Wachepukaji mnaloo

Wachepukaji mnaloo

Huko dar mtawekewa device ambayo mta shikwa live mkichepuka jamani hii nzuri walete arusha wanaume za watu wakome kuchepuka nakupeleka matumizi mengine natamani tuone itaendaje hili sakata finaly muoe muache kuchezea watoto wawatu wakitoka kwa walioa wanakuja kwa viwembe wakuwatesa watoto watu na wakuwakimbia pindi wanamimba au wamefubaa hii itakuja soo intake yenu hii leo ije tuone raha wengine wapumue vizuri
Tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 tutaanza kum mimba muasisi wa hivyo vidude, labda asiwe mamz!
 
Kwani wakijinyonga wewe inakuhusu nini? Mbona hamuwawazii na masikini wasio na mali mnawawazia wanawake wasio na waume tu?

Marianah!

1. Kama mtoa mada kaiweka mada inayohusu mahusiano hapa jukwaani ili tuchangie kwa kila mtu na mtizamo na mawazo yake! Wewe unaniambia hainihusu!! Stress hizo!!

2. Thread inazungumzia mahusiano, wewe unataka mie niingize maswala ya umasikini tungeelewana na mtoa mada au wanaMMU!? Stress hizo tayari!

Una kila dalili huna mwanaume umeamka na stress unaelekea kujinyonga!! Na hiki ndicho nilichozungumzia!! Usijali Marianah haya maisha tu!
 
hiyo sio divice ya kunasa mchepuko kwanza hakuna technology ya hivyo hiyo wanotengeneza ni dadabase tu ya kutambua wadada walioahidiwa kuolewa na mabahria hapa afu badae tunakataa hatujawahi toa ahadi ya hivyo so iyo database eti itatunza kumbukumbu SASA NASEMA HIVI TUTAI HACK TU HIYO DATABASE NA HATUOI KABISA
 
Marianah!

1. Kama mtoa mada kaiweka mada inayohusu mahusiano hapa jukwaani ili tuchangie kwa kila mtu na mtizamo na mawazo yake! Wewe unaniambia hainihusu!! Stress hizo!!

2. Thread inazungumzia mahusiano, wewe unataka mie niingize maswala ya umasikini tungeelewana na mtoa mada au wanaMMU!? Stress hizo tayari!

Una kila dalili huna mwanaume umeamka na stress unaelekea kujinyonga!! Na hiki ndicho nilichozungumzia!! Usijali Marianah haya maisha tu!
Mwache mwenzio na stress zake.
 
hiyo sio divice ya kunasa mchepuko kwanza hakuna technology ya hivyo hiyo wanotengeneza ni dadabase tu ya kutambua wadada walioahidiwa kuolewa na mabahria hapa afu badae tunakataa hatujawahi toa ahadi ya hivyo so iyo database eti itatunza kumbukumbu SASA NASEMA HIVI TUTAI HACK TU HIYO DATABASE NA HATUOI KABISA
Haya ni makavu bila chenga
 
Kiingereza kigumu wewe wacha tu.Sidhani kama mleta mada kaelewa.Ni database sio device ya ku monitor watu.
Sijaisoma nimesoma kidogo tu hapo juu kingereza najua tena chandani
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hizo kauli za wanaume wa humu JF tumeshazizoea maana huwa mnazitumia kama defense mechanism tu ili kukimbia mlichoulizwa jibu kwa hoja na siyo kwa vijembe

Hoja ni kwamba wanaume hamna sababu yoyote ya kuchepuka hizo sababu zote mnazotoa mnazitumia tu kama visingizio ila hazina mashiko usipotezee mada eti stress
Marianah!

1. Kama mtoa mada kaiweka mada inayohusu mahusiano hapa jukwaani ili tuchangie kwa kila mtu na mtizamo na mawazo yake! Wewe unaniambia hainihusu!! Stress hizo!!

2. Thread inazungumzia mahusiano, wewe unataka mie niingize maswala ya umasikini tungeelewana na mtoa mada au wanaMMU!? Stress hizo tayari!

Una kila dalili huna mwanaume umeamka na stress unaelekea kujinyonga!! Na hiki ndicho nilichozungumzia!! Usijali Marianah haya maisha tu!
 
Tatizo hiyo inasema mtu akishikwa mbele tu nyuma haisemi
 
Mtajuju mtalionja jua lake mbona mtahamia dodoma wote??
 
Sijawahi kumpenda wala kutamani Bashite afanikiwe kwenye jambo lake lolote lile ila kwenye hili swala kama yeye ndiyo pioneer basi nitafunga na kuomba ili afanikiwe tu kwa kweli
Hakuna Mungu anasikiliza ujinga wa hivi
 
Sijawahi kumpenda wala kutamani Bashite afanikiwe kwenye jambo lake lolote lile ila kwenye hili swala kama yeye ndiyo pioneer basi nitafunga na kuomba ili afanikiwe tu kwa kweli
Mambo yake yote ni ya kipuuzi ndo maana hafanikiwi pamoja na hili
 
Kuna mambo mengi ya maana ya maendeleo angefanya sasa kwa akili yako kabisa huoni hili ni la kijinga Kwanzaa haliwezekani ni kupoteza Mdaa tu.. Anafanya vtu kwa mihemko
Hili mnaliona la kipuuzi sababu limewagusa eti?
 
Kuna mambo mengi ya maana ya maendeleo angefanya sasa kwa akili yako kabisa huoni hili ni la kijinga Kwanzaa haliwezekani ni kupoteza Mdaa tu.. Anafanya vtu kwa mihemko
Kwa sababu wanaume mnajivunia umalaya ndiyo maana
 
Back
Top Bottom